Me ninavojua viungo vya kushoto vya mtu vinaongozwa na ubongo kulia likewise vya kulia na ubongo wa kushoto, halafu ni kwamba right hemisphere ya brain ndio ipo efficient zaidi, na ndio maana wengi wanotumia left hands au miguu wapo vizuri kama ni darasani kwenye soccer wapo extraordinary, this is because kutokana na kutumia viungo vyao vya kushoto inasababisha ubongo wa kulia kufanya kazi zaidi na huo upande wa ubongo ukishughulishwa huwa upo vizuri. zaidi, ndio maana hapo zamani dola kubwa kubwa zilipogundua hayo mambo ikapinga sana watu kutumia left hands au legs, walijua watu watakuwa very intelligent and it will be much difficult to rob em, what shud be done wakaamua kumake things up kuhusu upande wa kushoto na viungo vya kushoto, angalia dini zinavoupinga upande wa kushoto, mwana wa Mungu atakaa mkono wa kuume wa kiti cha enzi, mara wale si wake atawaweka kushoto wakachomwe moto, mila na desturi nyingi zamani zilipinga sana matumizi ya kushoto,because ukitumia kushoto utatumia right hemisphere ya ubongo.
Sidhani kama kuna mtu anazaliwa automaticaly anadepend upande flani zaidi, ni katika kujifunza funza ndio mtu anaamua kutumia upande mmoja wapo.
Wataalam zaidi watakuja elezea hii kitu.