Je, Mungu ana sura gani?

Bavaria

JF-Expert Member
Jun 14, 2011
53,102
53,351
Mungu amemuumba mwanadamu kwa sura na mfano wake.
Dunia hii ina watu wa rangi mbali mbali. Kuna wazungu, waafrika, waarabu, waasia, n.k.
Swali linakuja, je, Mungu amechukua sura ya watu wa wapi hapa duniani? Ni mweusi au mweupe? Mwarabu au muasia?
 
Mwanzo 1:27-28
[27]Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba.
[28]Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi.
 
Mungu amemuumba mwanadamu kwa sura na mfano wake.
Dunia hii ina watu wa rangi mbali mbali. Kuna wazungu, waafrika, waarabu, waasia, n.k.
Swali linakuja, je, Mungu amechukua sura ya watu wa wapi hapa duniani? Ni mweusi au mweupe? Mwarabu au muasia?
Kwani hujasikia watu fulani wakisema nikisimama tu ni mungu kasimama?
 
Mungu amemuumba mwanadamu kwa sura na mfano wake.
Dunia hii ina watu wa rangi mbali mbali. Kuna wazungu, waafrika, waarabu, waasia, n.k.
Swali linakuja, je, Mungu amechukua sura ya watu wa wapi hapa duniani? Ni mweusi au mweupe? Mwarabu au muasia?
Wewe unafanana na nani?
 
Mwanzo 1:27-28
[27]Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba.
[28]Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi.
Hujajibu swali. Mungu ana sura ya rangi gani kati ya hizi 'race' za dunia hii?
 
Mwanzo 1:27-28
[27]Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba.
[28]Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi.
Huyu alietoa hii kauli yeye alikuwa wapi wakati Mungu anaumba?
 
Mungu amemuumba mwanadamu kwa sura na mfano wake.
Dunia hii ina watu wa rangi mbali mbali. Kuna wazungu, waafrika, waarabu, waasia, n.k.
Swali linakuja, je, Mungu amechukua sura ya watu wa wapi hapa duniani? Ni mweusi au mweupe? Mwarabu au muasia?
Mungu hajamuumba mwanadamu kwa sura na mfano wake. Huyu mwanadamu wa leo anayehalalisha ushoga? Huyu mwanadamu wa leo ambaye anaigiza filamu za ngono huku wakimlawiti mwanamke, mwanadamu huyu anayefanya unafiki katika ardhi ya Mwenyezi Mungu ndio awe mfano wa Mungu. Nimekataa. Hilo andiko linahitajika kifutwa
 
Mungu hajamuumba mwanadamu kwa sura na mfano wake. Huyu mwanadamu wa leo anayehalalisha ushoga? Huyu mwanadamu wa leo ambaye anaigiza filamu za ngono huku wakimlawiti mwanamke, mwanadamu huyu anayefanya unafiki katika ardhi ya Mwenyezi Mungu ndio awe mfano wa Mungu. Nimekataa. Hilo andiko linahitajika kifutwa
Upo nje ya mada ndugu.

Leo tunataka kujua sura ya Mungu.

Hiyo mada yako ilete siku nyingine kwa uzi mwingine.
 
Back
Top Bottom