Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Vitabu vitakatifu vya dini pamoja na maandiko mengineyo yanajaribu kusimulia jinsi Mungu alivyoumba malaika, binaadamu na viumbe vinginevyo. Vitabu hivyo vinaanzia masimulizi hata kabla ya uwepo...
7 Reactions
323 Replies
29K Views
Natoa Hai kwa wanajukwaa was Jf. Ni matumaini yangu ya kwamba muwazima wa aftya tele. Natoa shukurani zangu nyingi kwa muumba mbingu,dunia na vitu vyote vinavyouzunguka ulimwengu ambaye ni Mungu...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Binadamu ana mwili, Roho na nafsi . Anapo kufa Roho huenda Kuzimu, na mwili huenda kaburini. Je nafsi huenda Wapi?
0 Reactions
25 Replies
6K Views
Eratosthenes wa Kirene alikuwa mtaalamu wa hisabati, jiografia, historia na lugha tena mkurugenzi wa maktaba ya Aleksandria katika Misri. Anakumbukwa hasa kama mtu wa kwanza aliyekadiria mzingo wa...
3 Reactions
10 Replies
3K Views
Kwa majonzi leo tumewaaga Ndugu zetu, Watanzania wenzentu (Hamad Haji Bakari, Chazil Khatibu Nandonde, Idd Abdallah Ally, Juma Mossi Ally, Ally Haji Ussi, Pascal Singo, Samwel Chenga...
16 Reactions
125 Replies
15K Views
Habari. Kwa wasiojua, Leo napenda niwape Elimu juu ya Mungu kutoka Misri ya kale aliyeitwa "Amen". Misri ya kale ambayo Vitabu hivi vya sasa huita ni taifa lililolaaniwa kuna mambo mengi sana...
8 Reactions
70 Replies
12K Views
Nimeangalia ushuhuda wa Kanyerere kupitia you tube kwa davista mata, hakika watu wanapitia mengi. Yesu kristo ni Mungu wa kweli
7 Reactions
38 Replies
11K Views
Kutokana na maombi ya baadhi ya wanachama wa Jamii Forums waliokuja PM kuniomba niandike kile ambacho ninakifahamu kuhusiana na kupotea kunakostaajabisha kwa dege la shirika la ndege la...
77 Reactions
204 Replies
32K Views
Kwame nkurumah ndiye rais wa kwanza wa Ghana alizaliwa mwaka 1909 na miaka 13 baadaye alizaliwa rais wa kwanza wa Tanganyika na baadaye Tanzania Julius Nyerere. Kwame Nkrumah anafahamika kwa...
17 Reactions
55 Replies
11K Views
KAMA NITAKUKWAZA WEWE UNAYE SOMA UZI HUU NAOMBA UNISAMEHE MAANA NAKWENDA KUONGELEA ELIMU YA KWELI KUHUSU DINI NA CHANZO CHAKE. Tutazungumza kwa urefu zaidi jinsi dini fulani fulani zilivyoanza na...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Sasa, unaweza kupata nakala za Kitabu changu cha "NYUMA YA ULIMWENGU WA SIRI NA UJASUSI". kitabu kina kurasa 442 na ndani yake kuna makala 17. Bei ya kitabu hiki ni Tsh 50,000/- Pia waweza kupata...
81 Reactions
263 Replies
59K Views
Wandugu, kuna andiko moja nimelisoma la Tito Magoti, nimelielewa na to declare interest, nilishawahi kufanya kazi kwenye utumishi wa uma kwenye hizo coercive organs....jambo moja la muhimu sana...
1 Reactions
33 Replies
4K Views
MJUE JASUSI(intelejinsia) PAUL KAGAME SIMBA WA VITA. (Aliyeiweka Uganda Kiganjani Mwake). Version. 1 Unaposikia jina Paul Kagame kama mwana diplomasia mbobezi lazima ushtuke, Huyu jamaa ni mtu...
10 Reactions
55 Replies
14K Views
Ulimwengu tunaoishi leo hii bado unathibitisha uhalali wa Charles Darwin's theory kuhusiana na "survival of the fittest" kuwa unaexist kupitia mlinganyo wa uwiano wa haki ya ku-exist na kuperish...
3 Reactions
7 Replies
2K Views
What are the most terrifying displays of intelligence by animals? A lioness made a big kill but got remorseful. After realizing the antelope she had killed was pregnant, the lioness removed the...
6 Reactions
4 Replies
803 Views
HABARINI NDUGU ZANGU NATUMAINI MU WAZIMA WA AFYA. Nimekuwa nikijiuliza maswali mengi juu ya hawa magaidi au vikundi vya waasi hasa barani Afrika lakini zaidi hawa Islamic state kutoka Mozambique...
4 Reactions
27 Replies
4K Views
SEHEMU 2: JINSI WAZUNGU WALIVYOTOKEA DUNIANI NGOZI NYEUPE Miaka 8500 iliyopita Luxermburg,Hungary na Hispania ilikuwa imejazwa na watu weusi .Miaka 7800 iliyopita, waafrika kutokan Dfrika...
8 Reactions
66 Replies
17K Views
Wakuu hamjambo! Kama kichwa cha Uzi huu kinavyouliza, Mimi nikiri kuwa naamini uwepo wa Mungu mmoja aliyeumba vyote vinavyoonekana na visivyoonekana pia. Katika vitabu mbali mbali vya dini...
31 Reactions
580 Replies
60K Views
Kwa jinsi mambo yanavyoendelea kuumana huko kwa mahasimu wawili Israel vs Palestine natamani nijue ipi security system bora dhidi ya mashambulizi ya angani kwa wajuzi wa mambo?
4 Reactions
98 Replies
12K Views
Hili ni swali nililojiuliza mara kadhaa huko nyuma. Katika pita pita zang kwenye vitabu mbali mbali nimekuta mara kadhaa sio mara moja ikitajwa kuwa haikuwa lugha ya kawaida watu wali wasiliana...
13 Reactions
65 Replies
6K Views
Back
Top Bottom