Vitabu vitakatifu vya dini pamoja na maandiko mengineyo yanajaribu kusimulia jinsi Mungu alivyoumba malaika, binaadamu na viumbe vinginevyo.
Vitabu hivyo vinaanzia masimulizi hata kabla ya uwepo...
Natoa Hai kwa wanajukwaa was Jf. Ni matumaini yangu ya kwamba muwazima wa aftya tele.
Natoa shukurani zangu nyingi kwa muumba mbingu,dunia na vitu vyote vinavyouzunguka ulimwengu ambaye ni Mungu...
Eratosthenes wa Kirene alikuwa mtaalamu wa hisabati, jiografia, historia na lugha tena mkurugenzi wa maktaba ya Aleksandria katika Misri. Anakumbukwa hasa kama mtu wa kwanza aliyekadiria mzingo wa...
Habari. Kwa wasiojua, Leo napenda niwape Elimu juu ya Mungu kutoka Misri ya kale aliyeitwa "Amen". Misri ya kale ambayo Vitabu hivi vya sasa huita ni taifa lililolaaniwa kuna mambo mengi sana...
Kutokana na maombi ya baadhi ya wanachama wa Jamii Forums waliokuja PM kuniomba niandike kile ambacho ninakifahamu kuhusiana na kupotea kunakostaajabisha kwa dege la shirika la ndege la...
Kwame nkurumah ndiye rais wa kwanza wa Ghana alizaliwa mwaka 1909 na miaka 13 baadaye alizaliwa rais wa kwanza wa Tanganyika na baadaye Tanzania Julius Nyerere. Kwame Nkrumah anafahamika kwa...
KAMA NITAKUKWAZA WEWE UNAYE SOMA UZI HUU NAOMBA UNISAMEHE MAANA NAKWENDA KUONGELEA ELIMU YA KWELI KUHUSU DINI NA CHANZO CHAKE.
Tutazungumza kwa urefu zaidi jinsi dini fulani fulani zilivyoanza na...
Sasa, unaweza kupata nakala za Kitabu changu cha "NYUMA YA ULIMWENGU WA SIRI NA UJASUSI".
kitabu kina kurasa 442 na ndani yake kuna makala 17.
Bei ya kitabu hiki ni Tsh 50,000/-
Pia waweza kupata...
Wandugu, kuna andiko moja nimelisoma la Tito Magoti, nimelielewa na to declare interest, nilishawahi kufanya kazi kwenye utumishi wa uma kwenye hizo coercive organs....jambo moja la muhimu sana...
MJUE JASUSI(intelejinsia) PAUL KAGAME SIMBA WA VITA.
(Aliyeiweka Uganda Kiganjani Mwake).
Version. 1
Unaposikia jina Paul Kagame kama mwana diplomasia mbobezi lazima ushtuke, Huyu jamaa ni mtu...
Ulimwengu tunaoishi leo hii bado unathibitisha uhalali wa Charles Darwin's theory kuhusiana na "survival of the fittest" kuwa unaexist kupitia mlinganyo wa uwiano wa haki ya ku-exist na kuperish...
What are the most terrifying displays of intelligence by animals?
A lioness made a big kill but got remorseful.
After realizing the antelope she had killed was pregnant, the lioness removed the...
HABARINI NDUGU ZANGU NATUMAINI MU WAZIMA WA AFYA.
Nimekuwa nikijiuliza maswali mengi juu ya hawa magaidi au vikundi vya waasi hasa barani Afrika lakini zaidi hawa Islamic state kutoka Mozambique...
SEHEMU 2: JINSI WAZUNGU WALIVYOTOKEA DUNIANI
NGOZI NYEUPE
Miaka 8500 iliyopita Luxermburg,Hungary na Hispania ilikuwa imejazwa na watu weusi .Miaka 7800 iliyopita, waafrika kutokan Dfrika...
Wakuu hamjambo!
Kama kichwa cha Uzi huu kinavyouliza, Mimi nikiri kuwa naamini uwepo wa Mungu mmoja aliyeumba vyote vinavyoonekana na visivyoonekana pia.
Katika vitabu mbali mbali vya dini...
Kwa jinsi mambo yanavyoendelea kuumana huko kwa mahasimu wawili Israel vs Palestine natamani nijue ipi security system bora dhidi ya mashambulizi ya angani kwa wajuzi wa mambo?
Hili ni swali nililojiuliza mara kadhaa huko nyuma.
Katika pita pita zang kwenye vitabu mbali mbali nimekuta mara kadhaa sio mara moja
ikitajwa kuwa haikuwa lugha ya kawaida watu wali wasiliana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.