Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 59,999
- 104,320
Wanabodi,
Nimekuwa nikijiuliza sana sisi tunaomwabudu Mungu wa dini mbalumbali na madhehebu mbalimbali, utakuta tunapingana kwa mengi mpaka tunatowana macho lakini likifika swala pesa hizi dini na madhehebu yote hayapingani kwenye swala la mshiko dini zote zinahamasisha kutowa sadaka na fungu la kumi tena mpaka pesa za watu maskini kabisa wanazitaka kwa maneno ya kuwafariji maskini kwamba sadaka yao ni kubwa kuliko ya tajili, tena kuna madhehebu ukihudhuria ibada zao 99% ya mahubiri yao ni kuhusu kujitowa fedha, najiuliza why money?
Sasa mimi nauliza je pesa iliumbwa na Mungu au iliumbwa na binadamu? Na ni kwa nini Mungu tumtolee sadaka ya pesa? Je Mungu anahitaji pesa? Na kama Mungu anahusika na pesa si angetujaria binadamu wote kama zilivyo nywele kila mtu na zake?
Karibuni tufunguwane akili.
Nimekuwa nikijiuliza sana sisi tunaomwabudu Mungu wa dini mbalumbali na madhehebu mbalimbali, utakuta tunapingana kwa mengi mpaka tunatowana macho lakini likifika swala pesa hizi dini na madhehebu yote hayapingani kwenye swala la mshiko dini zote zinahamasisha kutowa sadaka na fungu la kumi tena mpaka pesa za watu maskini kabisa wanazitaka kwa maneno ya kuwafariji maskini kwamba sadaka yao ni kubwa kuliko ya tajili, tena kuna madhehebu ukihudhuria ibada zao 99% ya mahubiri yao ni kuhusu kujitowa fedha, najiuliza why money?
Sasa mimi nauliza je pesa iliumbwa na Mungu au iliumbwa na binadamu? Na ni kwa nini Mungu tumtolee sadaka ya pesa? Je Mungu anahitaji pesa? Na kama Mungu anahusika na pesa si angetujaria binadamu wote kama zilivyo nywele kila mtu na zake?
Karibuni tufunguwane akili.