Dar es Salaam. Wakati watu wakifikiria ukavu wa macho au mdomo ni tatizo la kawaida linalotokana na uchovu, matumizi ya kompyuta kwa muda mrefu au kunywa maji kidogo, wataalamu wa afya wanasema...
SUPER DOSE 2
.- Dr.Zaganza: Wataalamu andaeni mchanganyiko hapo chini unatibu magonjwa 5
1. Unga wa matunda ya Mtomoko (Annona cherimola) 500gm
2. Unga wa mbegu za parachichi (Persea americana)...
Mchunga ( Dandelion) ni mmea wenye faida nyingi sana Binadam. Hapa Tanzania unapatikana porini na majumbani kama maua.
MCHUNGA ni mmea unafaha na kutibu maradhi mbalimbali kama vile;
Matatizo ya...
Mmea ni majabu ya Mungu kwetu .
Mmea hapo kwenye picha :
🥬Kisukuma unaitwa Mjorwambogo.
🥬Kikamba unaitwa Ithaa.
🥬Kikikuyu unaitwa Mwino au mwinu.
🥬Kijaruo unaitwa Ovino au owinu.
🥬Kimeru unaitwa...
Habari viongozi na poleni na kazi, leo nilikua kwenye pilika pilika zangu na ilivyofika jioni nikarudi nyumbani ila nikapitia chooni na ilikua 18:39 na nilipotoka nikawa nazigusa korodani zangu...
Faida za kula bamia:
Husaidia kudhibiti kiwango cha sukari mwilini (nzuri kwa wagonjwa wa kisukari)
Ina nyuzinyuzi nyingi (fiber) zinazosaidia mmeng'enyo wa chakula na kuzuia choo kigumu
Husaidia...
Kizunguzungu cha ghafla kinaweza kutokea kwa sababu mbalimbali (shinikizo la damu kushuka, upungufu wa maji, sukari kushuka, matatizo ya sikio la ndani, n.k). Hapa ni hatua za haraka za kuchukua...
Vyakula vinavyosaidia kuboresha afya ya uzazi kwa mwanaume ni pamoja na:
Vyanzo vya protini na zinki
Samaki (hasa samaki wenye mafuta kama salmon, sardini)
Mayai
Nyama nyekundu kiasi (beef...
Kutokunywa maji ya kutosha kunaweza kusababisha madhara kadhaa mwilini:
Madhara ya haraka (upungufu mdogo hadi wa kati)
Kiu kali na kinywa kukauka
Uchovu na kukosa nguvu
Kizunguzungu na maumivu...
Kiafya, matumizi ya muda mrefu ya simu yanaweza kusababisha madhara yafuatayo mwilini:
Macho
Uchovu wa macho (digital eye strain) — macho kuwaka, kukauka, kuwa mekundu
Kuona vibaya kwa muda...
Wadau natafuta chuo kwaajili ya ku upgrade taalamu ya ndugu yangu kutoka certificate kwenda diploma Naomba kwaanayefahamu chuo chochite cha peivate kiwe Daresalaam.
Natanguliza shukrani.
Faida za kula nyanya
.
Nyanya huwa tunazichukuliwa kama mboga za majani, ingawa kiuhalisia ni tunda.
Nyanya ni chakula kizuri sana. Ni tamu ukila mbichi katika kachumbari au katika sandwiches, na...
Habari zenu wana JF. Leo nawaletea mbinu za kumuondoa mdudu aliyeingia sikioni.
Kuna baadhi ya wadudu huwa wanapenda kuingia masikioni kama vile mende,chawa,nzi nk. Tunamuondoaje?:Tumia moja kati...
Ugonjwa wa Figo (Kidney Disease)
Aina kuu:
Ugonjwa wa figo wa ghafla (Acute Kidney Injury) - hutokea haraka, mara nyingi kutokana na maambukizi, upungufu wa maji mwilini, au dawa fulani. Unaweza...
BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA KUHUSU TATIZO HILI
Wakuu, nina tatizo la mwili kuwasha baada ya kumaliza kuoga tu. Hili tatizo lilijitokeza kama miaka mitatu iliyopita likatoweka lenyewe, sasa...
Heshima kwenu wakuu,
Katika ulimwengu wa biashara wa sasa hapa Tanzania, rasilimali watu ndio injini kuu ya mafanikio ya kampuni yoyote. Wafanyakazi wakiwa na amani ya nafsi (peace of mind)...
-Zipo dalili nyingi ambazo huashiria mtu kusumbuliwa na tatizo la kuzidi kwa Acid tumboni,dalili hizo ni zifuatazo:⤵️⤵️
1.🖇️ Kuwaka moto kifuani(Kiungulia) hasa wakati wa usiku au unapolala,hali...
Madhara ya uvutaji sigara:
Saratani ya mapafu, koo, kinywa, umio, kibofu, na viungo vingine
Magonjwa ya moyo na mishipa ya damu (kiharusi, shambulio la moyo)
Emphysema na bronchitis ya kudumu...
Kila mwaka tunaona bajeti kubwa zikipitishwa kwa matumizi mbalimbali, na tunasikia mabilioni yakitengwa kwa ajili ya kuboresha vituo vya afya na hospitali, hasa katika maeneo ya mijini. Lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.