Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

On JF:

Ugonjwa wa Presha (Shinikizo la Damu - Hypertension) Presha ni hali ambapo damu inasukuma kwa nguvu kupita kiasi kwenye kuta za mishipa ya damu kwa muda mrefu, jambo linaloweza kuharibu moyo...
6 Reactions
0 Replies
144 Views
## Ugonjwa wa Bawasili (Hemorrhoids/Piles) Bawasili ni uvimbe wa mishipa ya damu iliyopo kwenye sehemu ya haja kubwa (rectum na anus) unaosababishwa na shinikizo kupita kiasi kwenye eneo hilo...
2 Reactions
0 Replies
130 Views
Julai 14, 2026 zaidi ya watu 4,000 wamepata huduma za uchunguzi wa awali wa magonjwa ya saratani wakati wa Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Dar es Salaam (SABASABA) yanayomalizika katika viwanja...
1 Reactions
1 Replies
85 Views
Ugonjwa wa Ngili (Henia) Ngili ni hali ambapo sehemu ya ndani ya mwili—kama utumbo au tishu ya mafuta—hujitokeza kupitia sehemu dhaifu ya misuli au tishu inayoshikilia viungo vya ndani, hasa...
1 Reactions
4 Replies
121 Views
Jf doctors nipeni muongozo wakuu, ukiachilia mbali UKIMWI ambao tunaweza jikinga kwa kuvaa condoms huu ugonjwa wa U.T.I hata ukivaa condom unaupata Je ni njia gani sahihi ya kujikinga na huu...
3 Reactions
48 Replies
541 Views
Kuna wakati nikikaa kuna mlio fulani hivi nausikia sikio moja tu. Kuna ule mlio unausikia mfano mtu akikupiga kofi la siikio au umejigonga sehemu kwenye kichwa unasikia kitu km kinalia...
3 Reactions
12 Replies
179 Views
Ukichunguza vizuri, utaona U.T.I. kama kifurushi fulani hivi kipya kinachowatafuna watu kimya kimya, tena kwa kasi. Hakichagui watoto au watu wazima, wazinzi au watu waliotulia. Vipi, miaka 20...
0 Reactions
16 Replies
185 Views
Ugonjwa wa Moyo (Magonjwa ya Moyo) Magonjwa ya moyo ni kundi la matatizo yanayoathiri moyo na mishipa ya damu, ikiwemo mshtuko wa moyo, kuziba kwa mishipa, kushindwa kufanya kazi vizuri kwa moyo...
0 Reactions
0 Replies
141 Views
Wanabodi, Wenye utaalaam na mambo ya anatomy, naulizia anatomical reasons, why only some do and others don't?. For those who does, why some just some little fluid and others so much fluid?! appx...
8 Reactions
198 Replies
34K Views
# Ugonjwa wa Kansa Kansa ni ugonjwa unaotokana na ukuaji usio wa kawaida na usiodhibitiwa wa seli za mwili, ambazo huanza kugawanyika bila mpangilio na kuvamia tishu zinazozunguka au kusambaa...
0 Reactions
0 Replies
69 Views
Kuna magonjwa kadhaa ambayo yanajulikana kwa kuwagharimu watu pesa nyingi wakati wa matibabu, hasa kwa sababu ni ya muda mrefu (sugu) au yanahitaji vipimo/dawa za gharama kubwa: Magonjwa...
3 Reactions
0 Replies
92 Views
Habari wanajf, Nimekuwa na maumivu ya mgongo kwa siku tano sasa, hasa katikati ya mgongo upande wa kushoto. Maumivu huongezeka ninapokaa, kusimama, au nikiinamisha kichwa chini au kuangalia juu...
4 Reactions
12 Replies
899 Views
Habari za muda huu, wakubwa ningeomba ushauri juu ya nini nifanye kutokana na hii hali ya tumbo langu kujaa gesi yani hua hata mara nne kwa wiki. Pia kuhusiana na ishu ya kilungulila.
7 Reactions
78 Replies
939 Views
Kwa nini ugonjwa unajirudia rudia na kuitwa sugu? Jibu ni kuwa vimelea vya magonjwa (bakteria, virus na fangasi) huanzia hatua ya mayai , hukua kiasi na kuitwa lava,kisha hukamilika kukua na kuwa...
1 Reactions
4 Replies
154 Views
Nakumbuka hapo zamani nikiwa na 15 niliwahi kuumwa, basi katika kuzunguka kupata suluhisho nililetewa dawa ya asili Ni majani unayachemsha yanakuwa kama chai ya rangi Niliponyanyua kikombe na...
0 Reactions
13 Replies
155 Views
Wakuu tuwe wakweli kidogo naamini humu wapo wengi wana hilo tatizo sijui ndo fangasi kwa zaidi ya mwaka mmoja lakini kila siku wanaahirisha kwenda pharmacy kutafuta dawa.Unakuta ukiwaza kwenda...
0 Reactions
8 Replies
160 Views
Wenye magonjwa makubwa tuliwazane hapa Kama una ugonjwa mkubwa wowote ule njoo hapa tuliwazane hata huna pia unaweza kupitia hapa na kutoa pole kwa member wagonjwa binafsi Nasumbuliwa na VIDONDA...
14 Reactions
90 Replies
1K Views
Habarini wana jamvi Mimi na mke wng tuna mtoto mmoja sasa amekua miaka 8 nahitaji mtoto wa pili Sasa kila akishika mimba inavyofikisha miezi miwili inatoka. "Nakumbuka ya kwanza kabisa kutoka...
9 Reactions
73 Replies
973 Views
Njia bora ya kuepuka/kuzuia bawasiri ni kuweka kinyesi chako laini, kwa hivyo hupita kwa urahisi. Ili kuzuia bawasiri na kupunguza dalili za bawasiri, fuata vidokezo hivi: Kula vyakula Asilia...
0 Reactions
2 Replies
135 Views
Securidaca longipedunculata ni mmea wenye faida nyingi za kiafya ambazo hutumika katika tiba za jadi katika sehemu mbalimbali za Afrika. Hapa chini ni faida zaidi zinazohusiana na mmea huu: 1...
0 Reactions
0 Replies
100 Views
Back
Top Bottom