Dr. Zaganza
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 1,766
- 2,685
SUPER DOSE 2
.- Dr.Zaganza: Wataalamu andaeni mchanganyiko hapo chini unatibu magonjwa 5
1. Unga wa matunda ya Mtomoko (Annona cherimola) 500gm
2. Unga wa mbegu za parachichi (Persea americana) 500gm
3. Unga wa mizizi ya Mjafari (Zanthoxylum chalybeum) 1000gm
Matumizi
Gram tano za unga katika uji mara mbili kwa siku (asubuhi na jioni).
Formula hiyo inategemea na muandaaji aliandaa kwa makusudia yapi.Kikubwa hapo kuna dose zifuatazo:
1. Vidonda vya tumbo
2. Uvimbe mwilini
3. Presha ya kupanda
4. Presha ya kushuka
5. Matatizo ya moyo Kwa ujumla- moyo kutanuka au moyo mpana
.- Dr.Zaganza: Wataalamu andaeni mchanganyiko hapo chini unatibu magonjwa 5
1. Unga wa matunda ya Mtomoko (Annona cherimola) 500gm
2. Unga wa mbegu za parachichi (Persea americana) 500gm
3. Unga wa mizizi ya Mjafari (Zanthoxylum chalybeum) 1000gm
Matumizi
Gram tano za unga katika uji mara mbili kwa siku (asubuhi na jioni).
Formula hiyo inategemea na muandaaji aliandaa kwa makusudia yapi.Kikubwa hapo kuna dose zifuatazo:
1. Vidonda vya tumbo
2. Uvimbe mwilini
3. Presha ya kupanda
4. Presha ya kushuka
5. Matatizo ya moyo Kwa ujumla- moyo kutanuka au moyo mpana