Magonjwa yasiyo ambukizwa (NCDs) yanayoongoza kwa kuathiri watu wengi zaidi duniani ni:
1. Magonjwa ya moyo na mishipa ya damu (cardiovascular diseases) – yanaongoza kwa vifo vingi zaidi duniani...
1. KWANINI MIGUU INANUKA? (SAYANSI NA VYANZO)Miguu yetu ina maelfu ya tezi za jasho (sweat glands) kuliko sehemu nyingine yoyote ya mwili.
Jasho lenyewe halina harufu, lakini shida inaanza hapa...
Wakuu,
Nipo hapa kuwasisitiza na kuwakumbusha tutunze afya zetu.
Binadamu jinsi tulivyo ukiichezea afya yako vibaya kuna wakati unafika unaanza kuoza.
Yaan mtu akikutazama hivi anakuona kwa nje...
Kwa kujiamini kabisa nasema kuwa Dawa zenu za Nguvu za Kiume zinachangia au zina ukweli wa 5% tu pekee ila ukweli kamili juu ta tatizo kubwa la sasa la Nguvu za Kiume kwa Wanaume wengi ni Uchumi...
U.T.I NI NINI
U.T.I. (yaani Urinary Tract Infection kwa kirefu) ni ugonjwa unaotokana na maambukizi (infection) katika mfumo wa mkojo (urinary tract). Maambukizi haya yanasababishwa na bakteria...
Meno ya utotoni – yana umuhimu mkubwa kuliko unavyofikiri.
Wazazi wengi hudhani kuwa meno ya utotoni hayana umuhimu kwa sababu baadaye yatang'oka na kuota meno ya ukubwani. Kutokana na imani...
Weekend ya leo tulivu, nilikuwa naperuzi kwenye magroup ya psychology nimekuta post nzito sana, nimeitafsiri na kuiweka kwenu wadau kwasabababu haya mambo tumekuwa tukiyatafsiri ndivyo sivyo...
Huu uzi ni mahsusi kwa..
Ajili ya wale wenye mapungufu ya nguvu" za kiume unaweza kua na upungufu wa nguvu za kiume ukawa hujapata suluhisho, hapa utashea
Uliponaje...? ulitumia dawa gani mpaka...
Nina mwaka mmoja Toka nijifungue, ila baada ya kuanza kupata hedhi imekua isiyoeleweka, mara itoke mara mbili kwa mwezi mara itoke siku nyingi Zaid ya Saba, hospital nilienda nikapewa dawa ya...
Bawasiri (Hemorrhoids/Piles)
Bawasiri ni hali ambapo mishipa ya damu katika sehemu ya haja kubwa (rectum na eneo la haja kubwa) huvimba na kuwaka, na kusababisha maumivu, kuwasha, au kutokwa...
Kifafa ni ugonjwa sugu wa neva unaosababishwa na mabadiliko ya ghafla ya mfumo wa umeme wa ubongo. Hali hii huleta mshituko na kusababisha mtetemeko (degedege), kukakamaa kwa mwili, na kupoteza...
Uzee ni kitu hakikwepeki. Lakini tafiti za kibotani(elimu ya mimea) zimefatilia jamii zinazotumia mimea ifuatayo na kukuta wazee wa jamii hiyo wakiwa na uwezo mkubwa wa kufurahia uzee wao ,kwa...
Ugonjwa wa Parkinson ni ugonjwa wa mfumo wa neva unaoendelea taratibu, unaoathiri sehemu ya ubongo inayodhibiti mwendo wa mwili. Unatokana na kupungua kwa seli zinazozalisha dopamine, kemikali...
Vitu hatari kwa afya ya uzazi wa mwanaume:
Sigara/tumbaku
Pombe kupita kiasi
Madawa ya kulevya (bangi, cocaine, n.k.)
Steroids za anabolic
Kemikali za viwandani (pesticides, mafuta ya petroli)...
■ Inasafisha kizazi
■ Inazibua mirija iliyoziba
■ Inaondoa sumu kwa wale waliotumia sindano za uzazi/vidonge vya uzazi.
■ Inakomaza mayai kwa wale wenye tatizo la mayai kutokukomaa na kusababisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.