International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Jamani Kimyaa sana Ubalozi wa Marekani hawajampongeza wala kutoka taarifa za aliyeshinda Urais wa Marekani waliishia Ku tweet wakati matokeo yanatoka baada ya hapo Kimyaa hadi sasa. Sijui Kimyaa...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Nani walimpigia kura Donald Trump? Nani walimpigia kura Trump? 53% ya wanaume - 41% walimpigia Clinton 42% ya wanawake - 54% walimpigia Clinton 58% ya Wazungu - 37% walimpigia Clinton 8%...
1 Reactions
2 Replies
857 Views
Bwana Joshua aliwaambia wafuasi wake siku ya Ijumaa kwamba ameona mwanamke akishinda. Baada ya Donald Trump kushinda kwa wingi wa kura katika uchaguzi wa Jumanne ,wageni katika ukurasa wa facebook...
1 Reactions
88 Replies
8K Views
Salam Comrades.. Napenda kuelekeza uzi huu kwa Mzee Mwanakijiji atupatie walau neno kufuatia matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Rais kule Marekani ambapo Donald Trump ameshinda. Nini mtazamo wako...
0 Reactions
1 Replies
651 Views
Apart from all odds known to Germany, it setted a precedence to the entire world that women have capability like their fellow men. Their cansellor Angela Merkel, won election twice. This shows...
1 Reactions
1 Replies
774 Views
Mzungu hawezi kukubali kupoteza Afrika hata siku moja na wewe J.Zuma unajaribu kumyang'anya Mzungu tonge mdomoni kwa kuanza kujitoa ICC, sasa Mzungu ana hit back, na maandamamo yameshaanza na...
1 Reactions
40 Replies
7K Views
Kwa nini si Hilary Clinton? Ndilo swali ambalo linaulizwa kila kona baada ya mgombea huyo wa chama cha Democtratic kuangushwa na Donald Trump wa Republican katika Uchaguzi Mkuu wa Marekani. Si...
3 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari ambaz0 hazikutegemewa kwa ushindi wa Donald trump dhidi ya Hillary Clinton imeanza kuzama marekani kote na duniani kwa watu hao kujiuliza swali moja,inawezekanaje hii kutokea?,na nani wa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Licha ya Rais Obama kuhimiza umoja na Bi Clinton kuwaambia wafuasi wake kwamba Bw Trump anafaa kupewa "nafasi ya kuongoza", ushindi wake umezua maandamano katika miji na majimbo kadha Marekani...
0 Reactions
0 Replies
815 Views
Katika hali ambayo haikutarajiwa na wengi Donald J Trump ameibuka na ushindi wa kutosha dhidi ya Hilary Clinton aliungwa mkono na Rais wa sasa na baadhi ya marais wastaafu. Kwenye uchaguzi huu...
9 Reactions
24 Replies
2K Views
I congratulate Mr. Donald Trump on his election as the President of the United States of America. Elections in the US or any country are a matter for the people of that country. Our relationship...
2 Reactions
62 Replies
6K Views
Johannesburg, Africa Kusini Hisia kali zimetolewa mitandaoni baada ya mwanamume mzungu kuonekana akimwingiza mwanamume mweusi kwenye jeneza kwa lazima huku akitishia kumchoma akiwa hai Video...
2 Reactions
67 Replies
8K Views
Masoko ya hisa duniani yameanza kulegalega na yale ya Marekani yakielekea kwenye anguko kubwa kutokana na matokeo ya Urais wa nchi hiyo yanayoendelea kutoka, kuwashangaza wawekezaji duniani...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Matokeo huko American. Raisi wa 45 wa marekani. Supporters wa Trump wakifurahia ushindi wa Trump.
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Mama Clinton kubali umashindwa kwa hoja! Cha ajabu hivi sasa unatoa viroja! Clinton na wafuasi wake hivi sasa wanalalama na kulia kilio cha wachawi kuwa Marekani imegawanyika kutokana na ushindi...
0 Reactions
1 Replies
695 Views
Haya Bw. Donald J. Trump ndo rais mteule wa taifa bora kabisa duniani. Kabla ya uchaguzi 'wajuvi' wa mambo walitabiri kuwa atagaragazwa vibaya mno na bibi Hillary Clinton. Hata mi mwenyewe...
3 Reactions
33 Replies
3K Views
Kuna Watu nashindwa kuwaelewa kabisa humu JF halafu nadhani ni ' wageni ' kwangu kwani kuna siku moja niliandika kitu humu tena nikiwa tu katika hali ya ' mizaha ' yangu kuwa Mama Clinton...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Imekuwa ni kawaida ya viongozi wanaojiita wa kiroho kutoa tabiri mbalimbali na shuhuda kemkem katika jitihada za kujiongezea wafuasi (kondoo/waumini). Nakumbuka miaka ya nyuma Tanzania tulikuwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
TAREHE 8/11/2016 NI SIKU YA KUAMUA NANI AWE RAIS WA MAREKANI KATI YA HILLARY CRINTON NA DORNALD TRUMP. •Na ujue mfumo wa electoral college unaoamua nani atakaye hudumu white house.. Kama raisi...
0 Reactions
181 Replies
19K Views
Kama atashindwa ntaendelea kuishi Tanzania Iwapo atashinda Clinton nawambiia nyumba nawapa naondoka na begi la mgongoni nawaachia nchi yenu Welcome our next president of USA Donald Trump
13 Reactions
302 Replies
22K Views
Back
Top Bottom