Wamejitokeza barabarani wakiimba kwa sifa na kusheherekea ushindi wa Trump. Wafuasi wengi wa ISIS wanategemea vita vya wenyewe kwa wenyewe ndani ya Marekani na kwamba hiyo ndio itakua anguko la...
Katika mambo yoote niliyosikia kuhusu Mke wa D.Trump, Melania Trump sijawahi kusikia Wazungu wakicheka lafudhi ya Kiingereza chake, huyu Mama anatokea nchi ya Slovenia ambayo iko Ulaya ya...
Watu kwa maelfu katika baadhi ya miji mikubwa nchini Marekani wanaandamana kupinga ushindi wa Rais mteule, Donald Trump kuwa Rais wa 45 wa Taifa hilo.
Baadhi ya waandamanaji wamekusanyika nje ya...
Muda wa Michezo umekwisha sasa, kila la heri kaanzishe NGO yakusaidia Afrika uje utupige porojo, mpishe D.Trump apige kazi to make America Great Again!
Uchaguzi wa Marekani umemalizika kwa Mr Trump kutangazwa kuwa mshindi kinyume na matarajio ya watu wengi akiwemo Tb Joshua. kilichonivuta nyuma ya keyboard ni hotuba ya bi Hirary Clinton...
Prime Minister Theresa May has been warned by a leading German politician that she is 'delusional' if she believes she can get a good trade deal from Donald Trump.
Axel Schafer, a senior member...
Ndugu wana JF naomba msaada kidogo kueleweshwa juu ya ushiriki au uhusika wa Fremason kwenye uchaguzi wa USA TAR 11.9 MLIPUKO PALE PENTAGON TAR.9.11 uchaguzi huwa nasikia hao wakubwa wanachezaga...
November 10, 2016 at 11:31 am
By Daniel Sabiiti
Cable car would make access to mount Karisimbi summit easy
Rwanda has found an investor ready to implement the ambitious cable car project which...
Kutana na wale wanaotarajiwa kuwa mawaziri wa Trump.
Source: BBC
Image Hili huenda likawa baraza la mawaziri la Trump
Kwa sasa kilicho kwenye akili za wengi ni kuhusu nani watapewa...
Katika soma soma news mtandoni leo nimeona makala zikielezea Bilionea tapeli R Allen Stanford ambaye alineemeka na pesa za watu kwa kwa style ile iayojulikana kwa wengi hapa bongo kama UPATU...
Kifaa kikubwa cha chuma kimeanguka kutoka angani katika eneo la migodi Kaskazini mwa Myanmar
Kifaa hicho cha muundo wa mviringo, kilichopatikana siku ya Ijumaa katika jimbo la Kachin, kina urefu...
Maandamano ya Wamarekani dhidi ya Trump yameingia siku ya tatu sasa. Maandamano hayo yanaonekana kuwa na dhima kuu 3:
1. Wengi wa waandamanaji hasa hawapingi ushindi wake ila wana hofu kuwa...
HOTUBA YA WAZIRI MKUU WA ISRAEL NETANYAU KUHUSU AFRIKA.
Hatujiwajibishi hata kidogo kujaribu kuthibitisha au kudokeza kwa kila mtu na kwa Waafrika na Waarabu kuwa Sisi (Weupe) tu watu tuliobora...
Kwanini Marekani kuna vyama viwili tu vya Siasa tofauti na baadhi ya nchi nyingine??
Na je mtu akitaka kuanzisha chama chake cha Siasa anaruhusiwa kwa Sasa?
Japan imesaini mkataba wenye utata wa kuiuzia vifaa na teknolojia ya nguvu ya nyuklia nchi ya India. Hii ni mara ya kwanza kwa Japan kufanya makubaliano kama hayo na nchi ambayo sio mwanachama wa...
Hizi kampeni zilikuwa na vituko sana mwaka huu.
Kabla ya uchaguzi wote hawa walikuwa wanaonekana vituko tu.
Lakini baada ya uchaguzi naona heshima imewekwa mbele.
November 11, 2016
Facebook Bug Declares Many Users Dead, Including Mark Zuckerberg
Relax, your friends didn’t all just suddenly die: A short-lived bug on Friday caused Facebook to switch...
November 11, 2016
Washington D.C USA
Former U.S. ambassador banned from traveling to Russia
By Associated Press
The former U.S. ambassador to Russia said Friday that he has been banned from...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.