Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,838
Mzungu hawezi kukubali kupoteza Afrika hata siku moja na wewe J.Zuma unajaribu kumyang'anya Mzungu tonge mdomoni kwa kuanza kujitoa ICC, sasa Mzungu ana hit back, na maandamamo yameshaanza na ninavyosikia baadhi ya heavy weights wa ANC wameshanunuliwa na sasa hawakutaki, kaa mkao wa kula muda umefika!
Nitakukumbuka Zuma kwa matukio ya ushujaa umeanzisha kampeni za kuondoa masanamu yote ya Kizungu, umeingia mkataba ya kujenga Nuclear power plant ambapo itaipatia AK Nishati ya uhakika, Wazungu hawataki hili, pole sana najua ndugu zako house niggas watakugeuka na kuwa upande wa Mzungu kama kawaida yao!
Amandla!!!
Afrika ni mtoto wa Muzungu!
Nitakukumbuka Zuma kwa matukio ya ushujaa umeanzisha kampeni za kuondoa masanamu yote ya Kizungu, umeingia mkataba ya kujenga Nuclear power plant ambapo itaipatia AK Nishati ya uhakika, Wazungu hawataki hili, pole sana najua ndugu zako house niggas watakugeuka na kuwa upande wa Mzungu kama kawaida yao!
Amandla!!!
Afrika ni mtoto wa Muzungu!