Trump mbele kwa mbele, nani atahama Marekani?

Trump mbele kwa mbele, nani atahama Marekani?

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
98,027
Reaction score
142,928
Haya Bw. Donald J. Trump ndo rais mteule wa taifa bora kabisa duniani.

Kabla ya uchaguzi 'wajuvi' wa mambo walitabiri kuwa atagaragazwa vibaya mno na bibi Hillary Clinton.

Hata mi mwenyewe nilidhani kuwa atagaragazwa. Nilikosea sana kudhani hivyo.

Sasa kuna hawa maselebrite wa Marekani waliotoa matamshi kwamba eti Trump akichaguliwa basi wanahama kutoka Marekani kwenda kuishi nchi zingine.

Sidhani kama kweli walikuwa wanamaanisha walichokisema. Lakini ngoja tuone.

Nina hamu kubwa sana ya kuona kama kweli wataondoka Marekani. Nasema na wahame tuone basi😀.

USA baby....
 
TI alikuwa anamchana vibaya sana Jamaa. Akina Nick Minaj,Rihanna,Ariana na wenzake wengi walikuwa wanamkashifu ila Mungu si Athumani kashinda yeye. Sasa waendelee kusema "Am With Her"
 
Vp ww utabaki mkuu maana Ushawekwa' mtu kati huku Magu na huko uncle Trump pote pachungu Afadhali urudi Shinyanga ukalime mpunga waiwai kabisa mvua hazjaanza
 
Vp ww utabaki mkuu maana Ushawekwa' mtu kati huku Magu na huko uncle Trump pote pachungu Afadhali urudi Shinyanga ukalime mpunga waiwai kabisa mvua hazjaanza

Mimi sina wasiwasi kabisa.

Marekani iko poa sana.
 
Mimi sina wasiwasi kabisa.

Marekani iko poa sana.
698e71365d3ccff87fdcd78770f5dc63.jpg
mwenzako kashaanza safari we jipe moyo [emoji1] [emoji1]
Mimi sina wasiwasi kabisa.

Marekani iko poa sana.
 
USA baby [emoji631] [emoji631] [emoji631]
 
TI alikuwa anamchana vibaya sana Jamaa. Akina Nick Minaj,Rihanna,Ariana na wenzake wengi walikuwa wanamkashifu ila Mungu si Athumani kashinda yeye. Sasa waendelee kusema "Am With Her"
Hawa walikuwa wanaongozwa na hisia za kukulia ghetto na athari za ubaguzi na udhalilishaji.Walisahau kwamba majority ya wapiga kura ni wazungu ambao ajenda yao inafanana.Huwezi kumuelewa kirahisi mwanamke anaunga mkono ndoa za jinsia moja na utoaji mimba bora hata angekuwa mwanaume.Kwa vyovyote ambavyo ingekuwa sikuwahi kuona kama Clinton angeshinda,na hapo ashukuru tu kwamba Trump hakuungwa mkono na watu muhimu wa chama chake,vinginevyo Trump angeshinda toka jana jioni.
 
Allan Lichtman kazungumzia kilekile ambacho nimekuwa nikikizungumzia mimi kwa muda mrefu humu.

Wamarekani wanapenda kubadili vyama baada ya chama kimoja kukaa madarakani kwa mihula miwili.
Huyu prof. Sijui ni kwa namna gani unaweza kataa utafiti wake! Ila hapa kwetu maprof wanaishia kugombea ubunge tu na kuwa mawaziri, mambo mazuri kama haya huwa hawayafanyi kabisa! Kidogo sana hapa tz namkubali prof Issa shivji!
 
Hahaaaa naona mchizi keshaanza kazi ya kujenga ukuta wake kwenye mpaka wa Mexico na Marekani.

Kulaleki walahi...watu wanachekesha sana.

Cw1QuFIXEAEGgjj.jpg
 
mkuu,rudi nyumbani,mashamba ya urithi uliyoachiwa na babu bado yapo,na yana rutuba,
 
My brother monkey mgabu
Nakuomba ufunge mabegi kakaangu safari ya kurudi nyumbani ndio hiyoo inawadia
Mpe salam zangu na dada mange
 
Back
Top Bottom