Umoja wa Ulaya (EU) umeitaka serikali ya Tanzania kuimarisha taasisi za uwajibikaji na uwazi kwa kupanua wigo wa Asasi za Kiraia kufanya kazi na jamii ili ifanikiwe katika mapambano dhidi ya...
Hili ndio swali nalojiuliza mpaka sasa huku mpaka leo hii ikiiwa ni tarehe 24 mishahara bado haijatoka kwa baadhi ya watumishi kitu ambacho sio cha kawaida kabisa.
Je,ile ahadi ya kuongeza...
MWENYEKITI WA CHAMA CHA WENYE VIWANDA VYA KUTENGENEZA DAWA TANZANIA, RAMADHANI MADABIDA.
KIWANDA cha Tanzania Pharmaceutical Industry (TPI), ambacho ni pekee cha kutengeneza dawa za kufubaza...
Hi great thinkers.
Nawashauri watumishi wa umma kuwa na files zao nyumbani kurekodi kila tukio hasa ya kuonewa.Hii itasaidia kuwa na kumbukumbu ya matukio uliyo fanyiwa na ofisa au maofisa kwa...
Kwa sasa kama kuna kampuni ambazo ni hovyo kwenye eneo la internet basi haya makampuni mawili yanastahili kupewa tuzo ya huduma duni. zaidi ni hawa jamaa wa Halotel hapa nakumbuka usemi wa wahenga...
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe atuma salamu za pole kwa kituo cha redio cha Clouds kwa ajali ya moto > Aagiza taasisi zinazohusika kufanya uchunguzi wa kina...
Mh mkuu wa mkoa,
Pole na majukumu..pamoja na kuleta barua ya malalamiko kwa kinachoendelea huku kawe naamini ama umeipata ama iko njiani kukufikia
Wakazi wa kawe wameshangazwa na kinachoendelea...
Mahakamana ya hakimu mkazi Arusha Leo ijumaa ,imetupa mashtaka ya jamhuri dhidi ya mfanyabiashara maarufu jijini Arusja ,Mathew Shamba Mollel katika kesi ya kughushi nyaraka za serikali ya mtaa...
Ndugu hivi karibuni nilikuja na nyuzi za kulalamika kuhusu matatizo yalionikumba.
ISSUE ILIKUA HIVI
Nilikua kwenye gari binafsi natoka arusha kwenda iringa.nilikua na kiasi cha pesa kwenye gari...
Kufuatia kuwepo tetesi, na uwezekano wakuja,na kuboreshwa kwa utaratibu wa kuchukua mafao pale mtu anapokoma ajira yake,Ingependeza sana watunga sera wetu na wapitisha mswada wetu, au kwa lugha...
Opposition/oppose/kupinga/kukataa tumeyatumia haya maneno sana kipindi kile cha debate sijui Maisha ya Mjini ni bora kuliko ya vijijini,mfumo wa vyama vingi ni bora kuliko chama...
Watu kumi wamefariki na wengine ishirini na nne wamelazwa katika hospitali ya Malkia wa ulimwengu Puma na hospitali ya mkoa wa Singida,baada ya magari waliyo kuwa wakisafiria kutoka kwenye...
UJUMBE WA KICHUNGAJI WA PASAKA 2014 KWA WAAMINI NA WATU WOTE WENYE MAPENZI MEMA
"Sote tuwe na Umoja" (rej. Yn 17:21)
UTANGULIZI:
Ndugu wapendwa, tunapohitimisha kipindi cha Kwaresima...
Ndug zang wana jamvi,..nimehitimu chuo kikuu hapa nchin tanzania..na sasa nahitaj kurejea zangu moshi..from dodoma ila nna mtungi wang wa ges oryx( mkubwa ).nataka nisafir nao kwenye basi..ila...
Amani iwe nanyi wapendwa katika bwana,
Kumezuka tabia ya watu walioishia darasa la laba na wale waliopata zero kidato cha nne huwadharau sana wasomi wenye degree zao. La saba huwadharau sana...
Wanahabari nendeni kwa mganga mkuu au pitieni hospitali zetu muombe majibu ya maswali haya;
1. Takwimu za vifo miaka ya nyuma kabla ya 2016 ilikuwaje.
2. Takwimu ya vifo kwa sasa ipoje.
3. Huduma...
Wizara ya Mifugo na Uvuvi imetoa muongozo wa upigaji chapa kwenye mifugo kufuatia kuibuka kwa changamoto ya upigaji holela unaoharibu ngozi hali inayoweza kuifanya bidhaa hiyo kukataliwa kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.