Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Umoja wa Ulaya (EU) umeitaka serikali ya Tanzania kuimarisha taasisi za uwajibikaji na uwazi kwa kupanua wigo wa Asasi za Kiraia kufanya kazi na jamii ili ifanikiwe katika mapambano dhidi ya...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Hili ndio swali nalojiuliza mpaka sasa huku mpaka leo hii ikiiwa ni tarehe 24 mishahara bado haijatoka kwa baadhi ya watumishi kitu ambacho sio cha kawaida kabisa. Je,ile ahadi ya kuongeza...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
MWENYEKITI WA CHAMA CHA WENYE VIWANDA VYA KUTENGENEZA DAWA TANZANIA, RAMADHANI MADABIDA. KIWANDA cha Tanzania Pharmaceutical Industry (TPI), ambacho ni pekee cha kutengeneza dawa za kufubaza...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Hi great thinkers. Nawashauri watumishi wa umma kuwa na files zao nyumbani kurekodi kila tukio hasa ya kuonewa.Hii itasaidia kuwa na kumbukumbu ya matukio uliyo fanyiwa na ofisa au maofisa kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa sasa kama kuna kampuni ambazo ni hovyo kwenye eneo la internet basi haya makampuni mawili yanastahili kupewa tuzo ya huduma duni. zaidi ni hawa jamaa wa Halotel hapa nakumbuka usemi wa wahenga...
6 Reactions
31 Replies
3K Views
Hali ngumu sana kwa wanaume wa Dar! Kuna team ya watu wanawahi na kuuza ticketi kwa wagonjwa wanaochelewa. Wanapiga dili aisee! Vyuma vimekaza
3 Reactions
6 Replies
1K Views
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe atuma salamu za pole kwa kituo cha redio cha Clouds kwa ajali ya moto > Aagiza taasisi zinazohusika kufanya uchunguzi wa kina...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mh mkuu wa mkoa, Pole na majukumu..pamoja na kuleta barua ya malalamiko kwa kinachoendelea huku kawe naamini ama umeipata ama iko njiani kukufikia Wakazi wa kawe wameshangazwa na kinachoendelea...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mahakamana ya hakimu mkazi Arusha Leo ijumaa ,imetupa mashtaka ya jamhuri dhidi ya mfanyabiashara maarufu jijini Arusja ,Mathew Shamba Mollel katika kesi ya kughushi nyaraka za serikali ya mtaa...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Ndugu hivi karibuni nilikuja na nyuzi za kulalamika kuhusu matatizo yalionikumba. ISSUE ILIKUA HIVI Nilikua kwenye gari binafsi natoka arusha kwenda iringa.nilikua na kiasi cha pesa kwenye gari...
5 Reactions
120 Replies
9K Views
Kufuatia kuwepo tetesi, na uwezekano wakuja,na kuboreshwa kwa utaratibu wa kuchukua mafao pale mtu anapokoma ajira yake,Ingependeza sana watunga sera wetu na wapitisha mswada wetu, au kwa lugha...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Opposition/oppose/kupinga/kukataa tumeyatumia haya maneno sana kipindi kile cha debate sijui Maisha ya Mjini ni bora kuliko ya vijijini,mfumo wa vyama vingi ni bora kuliko chama...
0 Reactions
4 Replies
911 Views
Watu kumi wamefariki na wengine ishirini na nne wamelazwa katika hospitali ya Malkia wa ulimwengu Puma na hospitali ya mkoa wa Singida,baada ya magari waliyo kuwa wakisafiria kutoka kwenye...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
UJUMBE WA KICHUNGAJI WA PASAKA 2014 KWA WAAMINI NA WATU WOTE WENYE MAPENZI MEMA "Sote tuwe na Umoja" (rej. Yn 17:21) UTANGULIZI: Ndugu wapendwa, tunapohitimisha kipindi cha Kwaresima...
4 Reactions
2 Replies
2K Views
Ndug zang wana jamvi,..nimehitimu chuo kikuu hapa nchin tanzania..na sasa nahitaj kurejea zangu moshi..from dodoma ila nna mtungi wang wa ges oryx( mkubwa ).nataka nisafir nao kwenye basi..ila...
0 Reactions
14 Replies
7K Views
Amani iwe nanyi wapendwa katika bwana, Kumezuka tabia ya watu walioishia darasa la laba na wale waliopata zero kidato cha nne huwadharau sana wasomi wenye degree zao. La saba huwadharau sana...
2 Reactions
31 Replies
5K Views
Mgahawa wa kwanza wafunguliwa Paris kwa watu kupata stafutahi huku wakiwa uchi wa mnyama. habari kamili Nudist restaurant opens in Paris
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wanahabari nendeni kwa mganga mkuu au pitieni hospitali zetu muombe majibu ya maswali haya; 1. Takwimu za vifo miaka ya nyuma kabla ya 2016 ilikuwaje. 2. Takwimu ya vifo kwa sasa ipoje. 3. Huduma...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Wizara ya Mifugo na Uvuvi imetoa muongozo wa upigaji chapa kwenye mifugo kufuatia kuibuka kwa changamoto ya upigaji holela unaoharibu ngozi hali inayoweza kuifanya bidhaa hiyo kukataliwa kwenye...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom