Wadau
Haya ndiyo masharti Mapya kwa watakaoshiriki mnada wa kesho tarehe 24/11/2017
1. Lazima kila mshiriki ajisajiri
2. Kila mshiriki atatoa tshs milioni 2 kabla ya kuanza mnada. Ukishindwa...
Shirika la viwanda Tanzania (CTI), limesema sukari ya viwandani ya wanachama wake imekwama katika bandari ya Dar es salaam kwa wiki mbili sasa jambo linaloweza kuathiri uzalishaji.
CTI imesema...
Mkurugenzi wa vipindi na matukio wa kituo cha lunginga cha Clouds Tv jijini Daresalaam ndugu Ruge Mutahaba amesema kuna viongozi mabeki kazi yao ni kuzuia kila kitu kwa visingio visivyo na tija...
wakuu.
tumshauri Makonda akumbuke cheo ni dhamana na kila lenye mwanzo lina mwisho.
duniani walikuepo majabali wakubwa ikiwapo saadam , gaddaf, mugabe , mobutu lakini leo hawapo na madaraka tena...
Leo 23/11/2017 basi ya Mbeya Express inayofanya safari zake Sumbawanga -Dar imezuiwa na Trafic Polisi kwa ubovu wa tairi. Imelazimu wabadili ndo waanze safari saa 1.00 asbh badala ya muda wake wa...
Leo nimelazimika kutoa petrol iliyokuwa kwenye tank ya gari yangu baada ya kusumbua kwa kuzimazima na kutoa milio isiyo ya kawaida. Fundi akanieleza hali hiyo inasababishwa na petol mbaya ndipo...
Kuna video inasambaa tangu jana kwenye mitandao ya kijamii haswa Instagram ikimuonyesha mtoto(Dorcas kama alivyoitwa humo) akichezeshwa wimbo wa chura kweli ile vidio haina maadili kabisa na ni...
Wakuu nimeona mjadala huu na nkaona una mapungufu makubwa nabya kinyonyaji sana kiasi kwamba kuajiriwa sasa kutakuwa ni utumwa zaidi ya ilivyo sasa.
Sijazama kuona ukweli wa haya hapa chini...
Mabibi na mabwana hamjambo woteee, pole kwa wenye matatizo ya hapa na pale, naomba niende kwenye mada moja kwa moja.
He ni mkoa upi ambao unapambana kila kukicha yawe makazi yako ya kudumu achilia...
Je! Umewahi kutazama watu na kwa kweli ukaitamani furaha yao, ukatamani kuwa wao?
Nikupe siri moja kile kinachokufanya utamani kuwa kama wao ni thelusi tu ya maisha yao halisi na kama ungeliona...
Hope ur all fine,
Mi nadhani ni wakati wa kuzibadilisha policy znazoelekeza usimamizi,matumizi na manufaa ya rasilimali za nchi.
Tuchukulie mfano madini,wenzetu Botswana na Namibia wamekua...
Niko hapa jijini La Paz, nchini Bolivia.
Kuna matukio makubwa mawili yametokea. Moja kuna kituo cha habari kimeungua wakati huohuo Chama tawala kilikuwa Ikulu kinavuna na kuwatangaza wanachama...
WAKATI upimaji wa afya bure ukiendelea katika meli maalumu kutoka China, baadhi ya wananchi jijini Dar es Salaam wamegeuza shughuli hiyo kuwa mtaji baada ya kuanza kuuza namba za kadi...
Wanabodi habari ya leo,
Binafsi naomba kusema ni vyema kuwajali na kuwahifadhi wapendwa wetu waliotutoka kwa njia nzuri na ambazo ziko kihalali kulingana na mila, desturi, tamaduni na dini...
Meneja wa Nyanza Commercial Farm, Dilipkumar Patel, amehukumiwa kifungo cha miaka 20 jela au faini ya mil. 534 na Mahakama ya Mkazi Kisutu kwa kosa la kukutwa na kucha za Simba. Bw. Patel...
Hivi ni kwanini MpesaTigo pesa/ Aitel money/Z-pesa Tanzania hawaingii makubaliano na Moneygram au Western union katika kutuma fedha toka ng'ambo? Hivi hili ni suala la kuambiwa kwa jinsi...
Siku kadhaa zilizopita nilikuwa chini ya uangalizi wa magereza. Hii ilitokea baada ya kwenda kumdhamini mtu mahakamani. Bahati mbaya simu ilivyoita ndio ikaniponza siku 15 hakuna kuona jua.
Kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.