Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

habari zenu nimejaribu kutafuta usafiri wa ndega Dar to Cape town presionair hakuna na air Tanzania hakuna yoyote mwenye mawazo ?
0 Reactions
2 Replies
931 Views
Wadau, Jumla ya wakazi 1,172 wa vijiji vitano vilivyo jirani na Ikulu ya Chamwino Dodoma wamenufaika na mafunzo maalumu waliyopewa ya kuwaongzea ujuzi ili waweze Kushiriki vema Upanuzi wa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naona usajili wa sasa umeenda sambamba na dirisha dogo la VPL, kila timu inajitahidi kuimarisha kikosi chake, huyu anaenda huku na huyu anaenda kule, siasa kama soka usimwamini sana mchezaji...
0 Reactions
0 Replies
699 Views
Wana jamvi habari zenu kwenye pta pita zangu nime liona sana hili neno Black friday, mara nyingi nime iona mwezi huu kwenye mitandao ya njee ya nchi ya tanzania waki tangaza sana ...kuna lecturer...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Pamoja na Mikutuo yote unayopitia kukata tamaa iwe ni mwiko. Pambana hadi dakika ya mwisho na ushindi utakuwa upande wake. Jifunze hata kupitia mbuzi huyu mtata
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Polisi imesema amebainika kuwa na funguo bandia saba za ofisi ya mhasibu. Singida. Mhasibu aliyeondolewa kazini kwa vyeti feki, anashikiliwa na polisi akituhumiwa kuiba fedha katika Hospitali ya...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Wakazi wa maeneo ya mjimwema makaburini mkoani Ruvuma wilaya ya songea mjini,usiku wa kuamkia leo wamekutana na kioja baada ya kumkuta binti akiwa uchi makaburini.baada ya kumuhoji kulikoni...
2 Reactions
107 Replies
19K Views
Jeshi la polisi linamshikilia mtu mmoja raia wa Peru kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya. Kamishna msaidizi wa polisi kitengo cha kuzuia dawa za kulevya Salim Kabaleke amesema mtu huyo...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Tawala za mikoa na serikali za mitaa TAMISEMI anayeshughulikia Elimu TIXON NZUNDA amesema serikali inatarajia kuajiri walimu wa sayansi elfu moja na mia sita ifikapo...
0 Reactions
29 Replies
5K Views
Rushwa hasa katika level za chini za watumishi waserikali hususani trafiki police, hospitalini, wizarani, TRA, Bandarani zimepanda bei kwa kasi sana mfano trafiki anakukamata anakubambikia makosa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu tunashangazwa na uwepo kwa wingi kwa hawa RAIA toka Malawi huku tegeta masaiti wakifanya kazi za ulinzi, uhouseboy, uhoysegirl, Shamba boy, etc. Watu hawa hawana kibali chochote cha ukazi...
3 Reactions
71 Replies
8K Views
Dar es Salaam. Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limepokea gari aina Toyota Land Cruiser kutoka benki ya CRDB ambalo litasaidia kuongeza kasi na ufanisi katika kupambana na matukio ya...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wanatunyanyasa sana sisi wateja wanywa soda, maji nk haswa kwa siku za mwisho wa juma tunapokwenda kuangalia ligi mbalimbali bar hii ipo maeneo ya tank la maji
1 Reactions
27 Replies
4K Views
Wakuu, Japo jambo hili limepowa kwa sasa lkn mtakumbuka Ngeleja alidai kurudisha mabilioni hayo TRA ambao nao waliyakana kwani hayawahusu. Je pesa hii imepelekwa wapi?
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Kuna mpango mkakati ulioundwa na Team ya Makonda kwa ajili ya kuidhibiti timu ya Fiesta katika mkoa wa Dar es salaam. Makonda na wenzake wana mkakati juu ya mpango wa kuharibu show ya Fiesta...
43 Reactions
242 Replies
37K Views
Imeelezwa kuwa 95% ya Watanzania wamefikiwa na Mtandao wa simu za mkononi, miongo miwili iliyopita tangu kuanzishwa kwa huduma hiyo hapa nchini Tanzania. Hii imesababisha kiwango cha uingizaji...
1 Reactions
1 Replies
768 Views
Kabla ya April 2017 ulimwengu wa Habari ulishuhudia moja kati ya tafrani ambazo hazijawahi kutokea kwenye tasnia ya habari, Nazungumzia Urafiki wa Ruge na Makonda uliovunjika baada ya Mkuu huyo...
12 Reactions
82 Replies
12K Views
Kwa mujibu wa matokeo ya Utafiti wa Shirika la Twaweza (2017) uitwao: ‘Hawashikiki? Mitazamo na maoni ya watanzania juu ya rushwa’ uliotolewa mapema leo unaonyesha kuwa rushwa katika sekta ya umma...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naombeni msaada wapendwa nimenunuwa Umeme kwa hao Airtel sijapata jibu toka mchana na Pesa imeenda napiga number 100 machine to kwa kwenda mbele sitaki sikia hawa Airtel wanaudhiiii
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hii Serikali imekuwa ikijinasibu kuwa hapa ni kazi tu na kuwa inajali wanyonge. Nimeangalia mfano mdogo tu ofisi ya Rais Tamisemi. Hawa wamekuwa wakiimba kila siku kuwa uhamisho wa watumishi...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom