Hii Serikali imekuwa ikijinasibu kuwa hapa ni kazi tu na kuwa inajali wanyonge.
Nimeangalia mfano mdogo tu ofisi ya Rais Tamisemi. Hawa wamekuwa wakiimba kila siku kuwa uhamisho wa watumishi...
Wakuu,
TCRA imeipiga faini Clouds FM Radio jumla ya shillingi za kitanzania milioni 12 makosa matatu
Kos la kwanza ni kukiuka kanuni na maudhui ya utangazaji, na kutangaza habari ya uongo katika...
Habari wakuu. Huyu ni mwajiriwa mpya na serikali. Anaomba USHAURI kutoka Moshi kwenda Kigoma kusafirisha vitu kama furniture za ndani usafiri unagharimu KIASI gani na atumie usafiri gani...
Makonda popote ulipo yamulike haya; miundo mbinu inajengwa Kwa gharama kubwa lakini huharibiwa Kwa uzembe;
Ufugaji Wa mifugo mingi maeneo ya mjini hususani jijini dar es salaam huchangia Kwa kiasi...
Kinachonisikitisha ni miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika kuna shule kama Shule ya msingi Mvomero-Morogoro haina madawati na madarasa.Kweli watu wakiwa wanaikosoa serikali ya CCM wanafanya...
Hili jambo niliiona kupitia kwangu ila nikaja kuliona kwa watu wengine.
Wengine walivyoonesha ni kuwa wamechoka na kuchoshwa.
Naamini kuna namna umechoka au umechoshwa. Unaweza kujiexpress??
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka wana-Lindi na wana-Ruangwa watumie fursa zilizopo ili kufanikisha maandalizi ya sherehe za Maulid na Baraza la Maulid Kitaifa mwaka huu.
Ametoa wito huo jana...
Sehemu kubwa ya tumbo lake ipo wazi, macho yake mekundu yanalengalenga machozi. Ghafla anaaza kulia huku akijiviringisha chini.
Jasho linamtiririka. Mikono yake na mdomo vinatetemeka, vishikizo...
Inaelezwa kuwa zaidi ya watu laki 1 huathirika na mafuriko ya mto Songwe kila mwaka ambao ni mpaka wa nchi za Tanzania na Malawi. Ili kuhakikisha maji yanatumika kwa matumizi endelevu, nchi...
Wakuu nataka kushare na nyinyi kaistoria haka na amini kwa namna moja au nyingine inaweza kukusaidia kwenye maisha yako kama unatafuta kazi.
Baada ya kumaliza chuo mtihani wangu wa mwisho ilikuwa...
Nimekuta Kijana wangu wa umri mdogo kama amepandwa na kichaa vile, baada ya kufanya uchunguzi wa kina nikakutana na hiyo kitu kwenye Bag lake...
Swali langu mpaka sasa ..
Hii ni Pombe gani? Iko...
Salum Njwete maarufu kama ‘Scorpion’ (35) ameiomba Mahakama ya Wilaya ya Ilala kumwachia huru kwa madai kuwa hauhusiki na unyang’anyi wa kutumia silaha na kumjeruhi, Said Mrisho.
Njwere...
Taasisi ya Uthibiti Ubora wa Mbegu Tanzania ( TOSCI ) kanda ya Ziwa imeyafunga maduka 34 ya pembejeo za kilimo baada ya wamiliki wake kubainika kuuza mbegu bila kuwa na vibali.
ITV
Wandugu habari,
Ni mabadiriKo yasiyokuwa na mabomu ya machozi,maji ya kuwasha , vifo, hata mawe kama vile tukishuhudia katika nchi nying za Kiislamu ,
Wanzimbabwe ni mfano wa kuigwa DUNIA nzima...
Kituo cha Utetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) chaiomba serikali kufuta amri inayozuia Halmashauri zote nchini kushirikiana na Mashirika yasiyokuwa ya Kiserikali pasipo kibali kutoka TAMISEMI
Jamani, mamlaka husika mkoani geita, tafadhali sisi kama wananchi wa katoro, tunaomba watumishi wa dispensary hii wachunguzwe, wagonjwa wanazidiwa, bila huduma yeyote kupewa, waganga na manesi...
Wadau
Inadaiwa kuwa wavuvi 3 wametoswa baharini huko mafia na hii baada ya kukutwa wakivua katika eneo la hifadhi ya bahari.
Kufuatia madai hayo Naibu Waziri Uvuvi na Mifugo Mhesh Abdalah Ulega...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.