Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Je, wajua? #Rwanda wana mfumo bora wa afya kuliko Marekani & nchi nyingi zilizoendelea ambapo wanyarwanda 90% wana bima ya afya ikilinganishwa na 88.7% ya wamarekani. Ni haki kwa kila mnyarwanda...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Nataka kwenda singida hapo kesho..je..kwa nauli yang ya tsh 20000/= Nitapata basi gani la kusafili nalo
1 Reactions
47 Replies
13K Views
Kama Uhuru alikubali kutii sheria za mahakama kwa kufuta ushindi wake na kukubali uchaguzi the Same to Odinga inabidi naye akubali maamuzi ya mahakama na sio kusumbua Jirani zetu Wakenya. Nasikia...
0 Reactions
0 Replies
710 Views
Yaaaniii n gari kadhaa zinasimamishwa na traffic Baadae unaonaa wanaingia kwenye gari wanatoka gari linaendelea na safari Jamboo hil linafanyika bila hofu kabisa tuwe bas na hofu ya Mungu...
0 Reactions
1 Replies
719 Views
Naskiliza Radio hapa ndani ya MWENDOKASI, mtangazaji wa AE, anaizungumzia Korea Kaskazini. Anasema KK kule hakuna huduma ya "international calls" simu za kutoka! Pia akeandelea kusema eti...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Siku hizi ITV nayo imekuwa kama TBC kwani habari zao siku hizi ni kuipongeza tuu serikali na kutotoa kabisa habari za upinzani hili ni janga kubwa kwa vyombo vya habari hasa hicho chombo...
2 Reactions
32 Replies
4K Views
Habari zenu wadau. Leo naomba kujua ukweli hasa kuhusu [wabantu] chimbuko lao na na asili ya neno WABANTU. kwa sababu inasemekana kwamba katika makabila zaid ya 120 yaliyopo Tanzania ni kabila...
0 Reactions
25 Replies
13K Views
Habari ya muda huu Wakati tumebaki na siku 33 kabla ya kufunga mwaka nina imani kila mmoja wetu anatafakari mwaka kesho afanye jambo gani ili aweze kupiga hatua hususani za kiuchumi katika Maisha...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
amani iwe juu yenu. leo katika pita pita zangu nimekutana na hiyo kitu hapo. Najua wikipedia ni mtandao ambao anybody can post or edit, hivyo kuufanya usiwe 100% authentic. Ila kwa bodies kubwa...
0 Reactions
0 Replies
646 Views
Kama ilivyo kwenye vita ya kupambana na rushwa na ufisadi, hili kwake halina mjadala, na kimsingi ni suala jema. Ni suala jema kwa sababu kodi inayokusanywa na serikali ndiyo inayotumika...
0 Reactions
28 Replies
2K Views
Wadau abari zenu kama kichwa cha abari kinavyosomeka Leo ni siku ya chajo kutokomeza mabusha na matende kwaiyo basi tujitokeze kwawingi tupate iyo chanjo kwenye zahanati zetu chanjo iyo ni buree...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Hivi fundi mitambo wa RTD Bwana Ali Said Tunku yuko wapi, mbobezi huyu alikuwa mala kwa mala katika gari la matangazo ya RTD lijulikanalo kama OB-VAN hususani kwenye matangazo ya mpira. Yuko wapi...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Ndugu wenzangu maisha yanazidi kuwa magumu mtaani lakini kila ukijaribu kufanya maarifa ili uweze kusimama bado hali ni tete. Zamani mtu alikuwa akisoma basi uhakika wa ajira ulikuwepo lakini ni...
9 Reactions
29 Replies
5K Views
Kuna zaidi ya 1trn / - katika fedha za kupunguza umasikini ambazo zimekaa tu zikisubiri maombi! Kwa mujibu wa naibu waziri wa serikali katika ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana na Ajira), Anthony...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Meneja Mkaazi wa Shirika la Ndege la Etihad nchini Tanzania, Bw. Ailende 'Allen' Okoromu 27 Novemba 2017- Dar es Salaam. Shirika la Ndege la Etihad Airways limemteua Ailende 'Allen' Okoromu kama...
1 Reactions
24 Replies
3K Views
Wana jamvi la JF naomba kujua tofauti ya wanyama hawa, iwe kwa majina, maumbile au kwa namna yeyote ile maana nimepata tabu kufahamu tofauti yao. Wanyama hao ni: 1.Kima 2.Ndedere 3.Tumbili...
2 Reactions
29 Replies
10K Views
Kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya, Mohamed Mpinga aliwaambia waandishi wa habari katika taarifa yake ya jana kuwa mbali na Minza, mwanaume mmoja pia alifariki dunia katika tukio tofauti. Katika...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Tanzania tuna trafiki wengi vilaza sana na wagumu kuelewa. Unakuta trafiki anasimama katikati ya mstari (chaki) katikati ya barabara huku magari yakipishana kwa kasi. Au mwingine badala ya...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Polisi inawashikilia vijana 33 kwa makosa ya kuwahadaa wasichana kimapenzi ieleweke hapa kosa sio kuhadaa ila ni KUWABAKA. Vijana hao almaarufu kwa jina la beach boys au dunga dunga wanapatikana...
2 Reactions
23 Replies
5K Views
Leo magari ya UDART yalikuja kwa wakati na kwa wingi kiasi kwamba japo tulijaa lakini sio kama siku za nyuma. Nahisi kuna mabadiliko kwenye uongozi.
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…