suluta
Senior Member
- Dec 22, 2016
- 115
- 40
Habari zenu wadau.
Leo naomba kujua ukweli hasa kuhusu [wabantu] chimbuko lao na na asili ya neno WABANTU. kwa sababu inasemekana kwamba katika makabila zaid ya 120 yaliyopo Tanzania ni kabila moja ndiyo kabila zawa la tanzania. Makabila mengi yote yamekuja kwa sababu mbalimbali.
I stand to be corrected.
Leo naomba kujua ukweli hasa kuhusu [wabantu] chimbuko lao na na asili ya neno WABANTU. kwa sababu inasemekana kwamba katika makabila zaid ya 120 yaliyopo Tanzania ni kabila moja ndiyo kabila zawa la tanzania. Makabila mengi yote yamekuja kwa sababu mbalimbali.
I stand to be corrected.