Hali ngumu ya maisha na kuongezeka kwa vikwazo vya kimaisha

queen of the jungle

JF-Expert Member
Mar 17, 2017
228
429
Ndugu wenzangu maisha yanazidi kuwa magumu mtaani lakini kila ukijaribu kufanya maarifa ili uweze kusimama bado hali ni tete. Zamani mtu alikuwa akisoma basi uhakika wa ajira ulikuwepo lakini ni tofauti na sasa mtu umesoma lakini miaka miwili unatafuta ajira bila mafanikio

Ukisema ufungue kibiashara unapata misukosuko mpaka biashara ya kusimama ni zaidi ya mwaka kwanza kodi kubwa, kodi ya pango ya mwaka, hujakaa sawa service levy, ukigeuka huduma ya taka sio chini ya elfu arobaini, mara hela ya sungusungu yoote hayo ni kwenye biashara changa

Lakini cha ajabu unaweza ukarudi nyumbani nako mwenyekiti wa serikali za mitaa naye anakutaka utoe hela ya sungusungu ya chumba unachokaa,
Ombi langu kwa serikali ni iangalie namna ya kusaidia vijana waliomaliza vyuo na hawajapa ajira maana wengine wazazi wao waliuza mpaka ngombe ili wanao wasome

Kilichoniuma sasa ni kwamba biashara haziendi, mume wangu katumbuliwa yuko tuu nyumbani na yeye ameanzisha miradi ambayo inachukua muda kuanza kumlipa.

Mbali na hivyo mama yangu ni mgonjwa anatakiwa kufanyiwa operesheni, mdogo wangu yuko anahitaji msaada wa ada kapata asilimia 40, mbali na hivyo nyumba tunayokaa kodi inakaribia kuisha kiukweli nataka nijilipue niende hata Zambia au South Africa
 
We pambana kivyako usitegeme serikali itakusaidia Kwa asilimia 100

Ova
 
lini ndugu nahisi yakija kupita ntakuwa nimempoteza mtu wa muhimu
Pole sana. Jaribu kifikiria ni kitu gani cha kufanya umsaidie mumeo kiuchumi.
Anzisha hata mgahawa au biashara yyte angalau ya kukingiizia 5000 kwa siku.
Huu ndiyo muda wa kukaa na mumeo mshauriane nn cha kufanya kuhusu maisha. Usimkimbie. Anzisha hata bustani ya mchicha, nyanya n.k utapiga hela tu
Tulia na mumeo. Kukimbilia nje ya nchi inaweza kuwa ina unafuu au kutokuwa.
Soma kwanza nchi unayotaka kwenda kuliko kukimbilia tu na mwisho wa siku unarudi mikono mitupu
 
Pole sana. Jaribu kifikiria ni kitu gani cha kufanya umsaidie mumeo kiuchumi.
Anzisha hata mgahawa au biashara yyte angalau ya kukingiizia 5000 kwa siku.
Huu ndiyo muda wa kukaa na mumeo mshauriane nn cha kufanya kuhusu maisha. Usimkimbie. Anzisha hata bustani ya mchicha, nyanya n.k utapiga hela tu
Tulia na mumeo. Kukimbilia nje ya nchi inaweza kuwa ina unafuu au kutokuwa.
Soma kwanza nchi unayotaka kwenda kuliko kukimbilia tu na mwisho wa siku unarudi mikono mitupu
Ushauri mzuri sana.
 
Ndugu wenzangu maisha yanazidi kuwa magumu mtaani lakini kila ukijaribu kufanya maarifa ili uweze kusimama bado hali ni tete. Zamani mtu alikuwa akisoma basi uhakika wa ajira ulikuwepo lakini ni tofauti na sasa mtu umesoma lakini miaka miwili unatafuta ajira bila mafanikio

Ukisema ufungue kibiashara unapata misukosuko mpaka biashara ya kusimama ni zaidi ya mwaka kwanza kodi kubwa, kodi ya pango ya mwaka, hujakaa sawa service levy, ukigeuka huduma ya taka sio chini ya elfu arobaini, mara hela ya sungusungu yoote hayo ni kwenye biashara changa

Lakini cha ajabu unaweza ukarudi nyumbani nako mwenyekiti wa serikali za mitaa naye anakutaka utoe hela ya sungusungu ya chumba unachokaa,
Ombi langu kwa serikali ni iangalie namna ya kusaidia vijana waliomaliza vyuo na hawajapa ajira maana wengine wazazi wao waliuza mpaka ngombe ili wanao wasome

Kilichoniuma sasa ni kwamba biashara haziendi, mume wangu katumbuliwa yuko tuu nyumbani na yeye ameanzisha miradi ambayo inachukua muda kuanza kumlipa.

Mbali na hivyo mama yangu ni mgonjwa anatakiwa kufanyiwa operesheni, mdogo wangu yuko anahitaji msaada wa ada kapata asilimia 40, mbali na hivyo nyumba tunayokaa kodi inakaribia kuisha kiukweli nataka nijilipue niende hata Zambia au South Africa
hizo ndio changamoto mara ya kwanza komaa tu mbona utazoea
 
Angalia sehemu yenye watu wengi, pachika genge kimyakimya, lugha tamu kwa wateja, usichague kazi ila chunga mahesabu jioni. Usikate tamaa utatoka mpaka ushangae, vitu vidogo ambapo g
hata TRA wakichungulia wanapuuza ila mahesabu unayajua wewe
 
Ndugu wenzangu maisha yanazidi kuwa magumu mtaani lakini kila ukijaribu kufanya maarifa ili uweze kusimama bado hali ni tete. Zamani mtu alikuwa akisoma basi uhakika wa ajira ulikuwepo lakini ni tofauti na sasa mtu umesoma lakini miaka miwili unatafuta ajira bila mafanikio

Ukisema ufungue kibiashara unapata misukosuko mpaka biashara ya kusimama ni zaidi ya mwaka kwanza kodi kubwa, kodi ya pango ya mwaka, hujakaa sawa service levy, ukigeuka huduma ya taka sio chini ya elfu arobaini, mara hela ya sungusungu yoote hayo ni kwenye biashara changa

Lakini cha ajabu unaweza ukarudi nyumbani nako mwenyekiti wa serikali za mitaa naye anakutaka utoe hela ya sungusungu ya chumba unachokaa,
Ombi langu kwa serikali ni iangalie namna ya kusaidia vijana waliomaliza vyuo na hawajapa ajira maana wengine wazazi wao waliuza mpaka ngombe ili wanao wasome

Kilichoniuma sasa ni kwamba biashara haziendi, mume wangu katumbuliwa yuko tuu nyumbani na yeye ameanzisha miradi ambayo inachukua muda kuanza kumlipa.

Mbali na hivyo mama yangu ni mgonjwa anatakiwa kufanyiwa operesheni, mdogo wangu yuko anahitaji msaada wa ada kapata asilimia 40, mbali na hivyo nyumba tunayokaa kodi inakaribia kuisha kiukweli nataka nijilipue niende hata Zambia au South Africa

Pole sana jmn Mungu atafanya tu njia
Nyakati ngumu hazidumi maishani,shall pass
 
Ndugu wenzangu maisha yanazidi kuwa magumu mtaani lakini kila ukijaribu kufanya maarifa ili uweze kusimama bado hali ni tete. Zamani mtu alikuwa akisoma basi uhakika wa ajira ulikuwepo lakini ni tofauti na sasa mtu umesoma lakini miaka miwili unatafuta ajira bila mafanikio

Ukisema ufungue kibiashara unapata misukosuko mpaka biashara ya kusimama ni zaidi ya mwaka kwanza kodi kubwa, kodi ya pango ya mwaka, hujakaa sawa service levy, ukigeuka huduma ya taka sio chini ya elfu arobaini, mara hela ya sungusungu yoote hayo ni kwenye biashara changa

Lakini cha ajabu unaweza ukarudi nyumbani nako mwenyekiti wa serikali za mitaa naye anakutaka utoe hela ya sungusungu ya chumba unachokaa,
Ombi langu kwa serikali ni iangalie namna ya kusaidia vijana waliomaliza vyuo na hawajapa ajira maana wengine wazazi wao waliuza mpaka ngombe ili wanao wasome

Kilichoniuma sasa ni kwamba biashara haziendi, mume wangu katumbuliwa yuko tuu nyumbani na yeye ameanzisha miradi ambayo inachukua muda kuanza kumlipa.

Mbali na hivyo mama yangu ni mgonjwa anatakiwa kufanyiwa operesheni, mdogo wangu yuko anahitaji msaada wa ada kapata asilimia 40, mbali na hivyo nyumba tunayokaa kodi inakaribia kuisha kiukweli nataka nijilipue niende hata Zambia au South Africa
Kwanza kabisa huyo mwanafunzi wa chuo mambie abane boom asiwe anaenda club na kuhonga... Pesa wanayopewa ...japo siku hizi boom linachelewa kutolewa...linatosha sana hata kujilipia chuo...

Pili pole sana...jiandae kuitwa na wanaccm kwamba wewe ulikua mpiga dili maana kila anaye lalamika maisha magumu anaitwa mpiga dili...
 
Kwa sasa hali imekuwa ngumu sana mm kuna nyakati zilifika mpaka nkataka kujinyonga yan but namshukuru mungu nilipita salama
Ww pambana mpaka kieleweke um support mumeo ukiona hali tete kama mnae nyumba mnahama mnaenda kupanga na huku mmepangisha utakuboost kidogo kodi
Usikate tamaa ubidamu kazi
Mpaka kuwa binadamu mbele za watu sio lele mama
 
Pole sana. Jaribu kifikiria ni kitu gani cha kufanya umsaidie mumeo kiuchumi.
Anzisha hata mgahawa au biashara yyte angalau ya kukingiizia 5000 kwa siku.
Huu ndiyo muda wa kukaa na mumeo mshauriane nn cha kufanya kuhusu maisha. Usimkimbie. Anzisha hata bustani ya mchicha, nyanya n.k utapiga hela tu
Tulia na mumeo. Kukimbilia nje ya nchi inaweza kuwa ina unafuu au kutokuwa.
Soma kwanza nchi unayotaka kwenda kuliko kukimbilia tu na mwisho wa siku unarudi mikono mitupu
aanzishe biashara amuuzie nani? hivi mkiambiwa hali ya kibiashafa siyo nzuri huwa mnaelewaje wenzetu. CCM itawale milele labda hali ikizidi kuwa ngumu mtapata akili. Watanzania ni watu wapumbavu sana
 
Back
Top Bottom