Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Mh kalisti lazaro Meya wa jiji la Arusha amefanikisha maonyesho ya kimataifa kwa makampuni yanayo fanya shughuli zake ndani ya jiji la Arusha mh Mgeni Rasmi Naibu waziri wa Mambo ya ndani Suzan...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau Huo ni ujumbe maalumu unaoelekezwa kwetu sote katika kampeni maalumu ya kupinga ukatili wa kijinsia. Kampeni hiyo itakuwa ya siku 16 kuanzia leo tarehe 25/12/2017 Kauli Mbiu: Funguka Karibuni.
0 Reactions
0 Replies
876 Views
Kwa tarifa rasmi zilizopo kutoka Clouds media.Fiesta itapigwa mpaka asubuhi na kibali kimetolewa toka magogoni.
12 Reactions
88 Replies
10K Views
Nimesikia leo kwenye kipindi cha Jahazi na Amplifier kwamba Fiesta itafanyika hadi asubuhi. Kibonde alisema 'asalam aleykum mh Magu kwa kauli mbiu hapa kazi tu' kwamba bandarini watu wanapiga kazi...
12 Reactions
50 Replies
5K Views
Bwana Misitu wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania, Mbarak Kajia auawa na kundi la watu wasiojulikana kwa kupigwa mawe alipokuwa akitekeleza majukumu yake wilayani Kilindi mkoani Tanga.
2 Reactions
12 Replies
4K Views
JESHI la polisi nchini limesema hadi sasa hakuna watu waliojitokeza kutambua au kulalamika kwamba wamepoteza ndugu zao kufuatia kuwapo kwa idadi kubwa ya miili inayookotwa maeneo mbalimbali...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Poleni na kazi wajameni, Leo hii nimekaa na vijana wangu kwenye banda letu tunapouziaga majeneza niko na kasimu kangu ka tecno M3 kale kakizamani (vile vya promosheni ya wale jamaa) sasa niko...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Waungwana hivi ipi ni sahihi kati ya 'Mbashara' na 'Mubashara?' Maana naona Azam TV wameandika 'Kandanda Mbashara'
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Mitandao ya simu sijui wameshiba hela au vipi! Kauli ya Dr shika itapendeza! Nilitarajia kuikuta kwenye uzinduzi wa vifurushi vipya Vya vodacom, au tigo Halotel nk! Dr angepiga hela na mitandao ya...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
habary wanajamvi! kutokana na kua na mitandao nyingi nchini ipi hasa mtandao ulio mzuri kwanza kwa huduma bora!na pili unafuu kwa hally yetu ya vyuma vimekaza?mie ni mteja mzury wa voda na kwangu...
1 Reactions
71 Replies
11K Views
Aliye na namba ya mfanyakazi yeyote, au afisa masoko wa Jielong Holdings (T) ltd wazalishaji wa mafuta ya Urafiki ya alizeti Shinyanga naomba anisaidie.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mbunge wa Singida Mashariki (CHADEMA), Tundu Lissu yupo tayari kutaja majina ya waliohusika kushambulia; kinachotakiwa ni Jeshi la Polisi kutuma maofisa wake jijini Nairobi, Kenya ndani ya siku 30...
1 Reactions
20 Replies
4K Views
Kutokana na ukuaji wa miji na viwanda, mahitaji ya maji nchini yameongezeka na kusababisha changamoto ya upatikanaji wa maji katika maeneo ya vijijini na mijini, hali inayotishia kukwamisha juhudi...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Wadau Napenda kujua gharama za masomo ya course ya shahada ya kwanza kwa mwaka huko Chuo Kikuu kwa anayejilipia mwenyewe. Aksanteni Course ya sheria Chuo Kikuu
0 Reactions
9 Replies
6K Views
Autodidacts ni neno la kiingereza linalomaanisha mtu kuwa na elimu bila kwenda shule/darasani. Wengine walienda kusomea vingine wakagundua wanapenda vitu ambavyo shule havipo wakaamua kuvibuni na...
25 Reactions
151 Replies
28K Views
Wakuu, Naomba ushauri kwani nilishapoteza muda wa masaa karibu 30 kwa mwaka huu kisa kusubiri msafara upite mara ya kwanza ilikua Morogoro, mara ya pili ilikua Singida na mara ya tatu leo Dar...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Makonda amekuwa akijisifu ya kwamba yu msafi wakati Makonda huyo kipindi akiwa Waziri mkuu wa serikali ya wanafunzi MUCCOBS aliweza kutumia nafasi hiyo kutafuna pesa za wanafunzi. Kwa mujibu wa...
8 Reactions
127 Replies
54K Views
Sokoni, Nzega. Tulipoenda kununua vitu mbalimbali kwa ajili ya kambi yetu kampeni za uchaguzi mdogo wa udiwani kata ya Nata. Hapo ni kwenye duka la kiongozi wa CHADEMA hapa Nzega ambapo tulikaa...
6 Reactions
42 Replies
5K Views
Poleni kwa usumbufu.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hakuna nchi duniani iliyoendelea bila mapinduzi ya viwanda,,na kilimo.mapinduzi ya viwanda ujerumani na uingereza yalianza1500 bk watanzania tuko nyuma miaka mingapi? Je tumeshaanza? Maswali ya...
0 Reactions
0 Replies
579 Views
Back
Top Bottom