Mh kalisti lazaro Meya wa jiji la Arusha amefanikisha maonyesho ya kimataifa kwa makampuni yanayo fanya shughuli zake ndani ya jiji la Arusha mh Mgeni Rasmi Naibu waziri wa Mambo ya ndani Suzan...
Wadau
Huo ni ujumbe maalumu unaoelekezwa kwetu sote katika kampeni maalumu ya kupinga ukatili wa kijinsia. Kampeni hiyo itakuwa ya siku 16 kuanzia leo tarehe 25/12/2017
Kauli Mbiu: Funguka
Karibuni.
Nimesikia leo kwenye kipindi cha Jahazi na Amplifier kwamba Fiesta itafanyika hadi asubuhi.
Kibonde alisema 'asalam aleykum mh Magu kwa kauli mbiu hapa kazi tu' kwamba bandarini watu wanapiga kazi...
Bwana Misitu wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania, Mbarak Kajia auawa na kundi la watu wasiojulikana kwa kupigwa mawe alipokuwa akitekeleza majukumu yake wilayani Kilindi mkoani Tanga.
JESHI la polisi nchini limesema hadi sasa hakuna watu waliojitokeza kutambua au kulalamika kwamba wamepoteza ndugu zao kufuatia kuwapo kwa idadi kubwa ya miili inayookotwa maeneo mbalimbali...
Poleni na kazi wajameni,
Leo hii nimekaa na vijana wangu kwenye banda letu tunapouziaga majeneza niko na kasimu kangu ka tecno M3 kale kakizamani (vile vya promosheni ya wale jamaa) sasa niko...
Mitandao ya simu sijui wameshiba hela au vipi! Kauli ya Dr shika itapendeza! Nilitarajia kuikuta kwenye uzinduzi wa vifurushi vipya Vya vodacom, au tigo Halotel nk! Dr angepiga hela na mitandao ya...
habary wanajamvi! kutokana na kua na mitandao nyingi nchini ipi hasa mtandao ulio mzuri kwanza kwa huduma bora!na pili unafuu kwa hally yetu ya vyuma vimekaza?mie ni mteja mzury wa voda na kwangu...
Aliye na namba ya mfanyakazi yeyote, au afisa masoko wa Jielong Holdings (T) ltd wazalishaji wa mafuta ya Urafiki ya alizeti Shinyanga naomba anisaidie.
Mbunge wa Singida Mashariki (CHADEMA), Tundu Lissu yupo tayari kutaja majina ya waliohusika kushambulia; kinachotakiwa ni Jeshi la Polisi kutuma maofisa wake jijini Nairobi, Kenya ndani ya siku 30...
Kutokana na ukuaji wa miji na viwanda, mahitaji ya maji nchini yameongezeka na kusababisha changamoto ya upatikanaji wa maji katika maeneo ya vijijini na mijini, hali inayotishia kukwamisha juhudi...
Wadau
Napenda kujua gharama za masomo ya course ya shahada ya kwanza kwa mwaka huko Chuo Kikuu kwa anayejilipia mwenyewe.
Aksanteni
Course ya sheria
Chuo Kikuu
Autodidacts ni neno la kiingereza linalomaanisha mtu kuwa na elimu bila kwenda shule/darasani. Wengine walienda kusomea vingine wakagundua wanapenda vitu ambavyo shule havipo wakaamua kuvibuni na...
Wakuu,
Naomba ushauri kwani nilishapoteza muda wa masaa karibu 30 kwa mwaka huu kisa kusubiri msafara upite mara ya kwanza ilikua Morogoro, mara ya pili ilikua Singida na mara ya tatu leo Dar...
Makonda amekuwa akijisifu ya kwamba yu msafi wakati Makonda huyo kipindi akiwa Waziri mkuu wa serikali ya wanafunzi MUCCOBS aliweza kutumia nafasi hiyo kutafuna pesa za wanafunzi.
Kwa mujibu wa...
Sokoni, Nzega. Tulipoenda kununua vitu mbalimbali kwa ajili ya kambi yetu kampeni za uchaguzi mdogo wa udiwani kata ya Nata. Hapo ni kwenye duka la kiongozi wa CHADEMA hapa Nzega ambapo tulikaa...
Hakuna nchi duniani iliyoendelea bila mapinduzi ya viwanda,,na kilimo.mapinduzi ya viwanda ujerumani na uingereza yalianza1500 bk watanzania tuko nyuma miaka mingapi? Je tumeshaanza?
Maswali ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.