Fundi mitambo wa RTD Bwana Ali Said Tunku yuko wapi?

Fundi mitambo wa RTD Bwana Ali Said Tunku yuko wapi?

ebaeban

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2012
Posts
2,205
Reaction score
2,707
Hivi fundi mitambo wa RTD Bwana Ali Said Tunku yuko wapi, mbobezi huyu alikuwa mala kwa mala katika gari la matangazo ya RTD lijulikanalo kama OB-VAN hususani kwenye matangazo ya mpira. Yuko wapi mheshimiwa huyu. Nimemkumbuka kwa jinsi watangazaji kama akina Greyson Mndeme,Noel Namalowe,Jacob Tesha walivyokuwa wakimtambulisha kwa mbwembwe.
 
Jacob Tesha mwenyewe kapotea...!!!


Kuna muda nilimkuta na mtaalam RAMA MKOSOLA wakiwa katika harakati za kufungua kampuni pale BRELA nafikiri kama kaka Rama ataona huu uzi basi anaweza kutujuza alipo mzee ALLY SAIDI TUNKUMBE
 
SAIDI TUMKU kijana wa kijiji cha makondeko mtoto wa mzee TUMKUMBE
 
Tunku+20171024_180859.jpg
 
Nilikuwa sijui kama Tunku ni kifupi cha Tunkumbe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom