Hivi fundi mitambo wa RTD Bwana Ali Said Tunku yuko wapi, mbobezi huyu alikuwa mala kwa mala katika gari la matangazo ya RTD lijulikanalo kama OB-VAN hususani kwenye matangazo ya mpira. Yuko wapi mheshimiwa huyu. Nimemkumbuka kwa jinsi watangazaji kama akina Greyson Mndeme,Noel Namalowe,Jacob Tesha walivyokuwa wakimtambulisha kwa mbwembwe.