Youngcaner
Senior Member
- Apr 12, 2013
- 123
- 22
Wana jamvi la JF naomba kujua tofauti ya wanyama hawa, iwe kwa majina, maumbile au kwa namna yeyote ile maana nimepata tabu kufahamu tofauti yao. Wanyama hao ni:
1.Kima
2.Ndedere
3.Tumbili
4.Nyani
5.Sokwe
Ahsante
1.Kima
2.Ndedere
3.Tumbili
4.Nyani
5.Sokwe
Ahsante