Ni ipi tofauti kati ya wanyama hawa?

Ni ipi tofauti kati ya wanyama hawa?

Youngcaner

Senior Member
Joined
Apr 12, 2013
Posts
123
Reaction score
22
Wana jamvi la JF naomba kujua tofauti ya wanyama hawa, iwe kwa majina, maumbile au kwa namna yeyote ile maana nimepata tabu kufahamu tofauti yao. Wanyama hao ni:

1.Kima
2.Ndedere
3.Tumbili
4.Nyani
5.Sokwe

Ahsante
 
Wana jamvi la JF naomba kujua tofauti ya wanyama hawa, iwe kwa majina,maumbile au kwa namana yeyote ile maana nimepata tabu kufahamu tofauti yao. Wanyama hao ni:

1.Kima
2.Ndedere
3.Tumbiri
4.Nyani
5.Sokwe

Ahsante
Ukiweza kutofautisha kati ya
1. Mwafrika(black)
2. Mzungu
3. Mchina
4. Mwarabu
5. Mhindi
6. Mhindi Mwekundu(brazilian)
7. Mjapani
8. Mkorea n.k
Utapata jibu la swali lako
 
Mitind
Ukiweza kutofautisha kati ya
1. Mwafrika(black)
2. Mzungu
3. Mchina
4. Mwarabu
5. Mhindi
6. Mhindi Mwekundu(brazilian)
7. Mjapani
8. Mkorea n.k
Utapata jibu la swali lako
Mitindo Huru,
Nakusihi sana kama huna majibu ya maswali ya Mtu anaependa kujua acha kujibu dhihaka Tafadhali ingawaje muuliza swali pia atambue hakuna mnyama anaitwa Ndedere Huyo amemleta yeye.
Wabobezi Wa Genetics ndio wenye jibu kamili la Swali hili.
 
Wana jamvi la JF naomba kujua tofauti ya wanyama hawa, iwe kwa majina, maumbile au kwa namna yeyote ile maana nimepata tabu kufahamu tofauti yao. Wanyama hao ni:

1.Kima
2.Ndedere
3.Tumbili
4.Nyani
5.Sokwe

Ahsante
Mheshimiwa mwana Jamvi,
Swali lako ni zuri na la kitaalam wengine wanalirukia tu kama vile vile nyani alivyozoea kurukia miti.
Kwanza kuanza na masahihisho ndedere hiyo umetujuza kikwenu Huyu anaitwa ngedere.
Kwa ufafanuzi sahihi wote uliowataja ni kima (Ape) wenye group mbili kubwa, kima wakubwa na kima wadogo akiwemo mwanadamu ingawaje yeye ametengwa kidogo na kuitwa Super Ape. Ukiweza na kama una uwezo Wa kuhudhuria hili darasa tutakufungulia darasa hili lakini nakushauri uelewe haya kwa ufupi na ufanye mambo yako mengine ya maendeleo.
 
Kwa kifupi hao wote uliowataja wanaitwa "primates" (binadamu ni primate pia), kuna zaidi ya spicie 300 za primates. Kwa juujuu unaweza kuwaweka kwenye makundi matatu (sio kisayansi)
kundi la kwanza wanaitwa "Apes", hawa wana miili mikubwa na hawana mikia, mfano wake ni gorilla (sokwe) na chimpanzee, kundi hili ndio wanafanana zaidi kibaiologia na binadamu
kundi la pili unaweza kuwaita "monkeys", hawa wana mikia na maumbo madogo, pia wengi wetu tunawafahamu kwakua ndio waliojaa tanzania
Kuna mamia ya spicies za "monkeys" siwezi kuzitaja na hata kwa kiswahili sijui wanaitwaje
Aina ya mwisho wanaitwa "prosimians" na mfano wao rahisi ni wale "lemur" wa madagascar
 
Wana jamvi la JF naomba kujua tofauti ya wanyama hawa, iwe kwa majina, maumbile au kwa namna yeyote ile maana nimepata tabu kufahamu tofauti yao. Wanyama hao ni:

1.Kima
2.Ndedere
3.Tumbili
4.Nyani
5.Sokwe

Ahsante
Huyu ni Nyani
 

Attachments

  • Screenshot_2017-11-27-06-01-08.png
    Screenshot_2017-11-27-06-01-08.png
    142.5 KB · Views: 73
Wana jamvi la JF naomba kujua tofauti ya wanyama hawa, iwe kwa majina, maumbile au kwa namna yeyote ile maana nimepata tabu kufahamu tofauti yao. Wanyama hao ni:

1.Kima
2.Ndedere
3.Tumbili
4.Nyani
5.Sokwe

Ahsante
Wana jamvi la JF naomba kujua tofauti ya wanyama hawa, iwe kwa majina, maumbile au kwa namna yeyote ile maana nimepata tabu kufahamu tofauti yao. Wanyama hao ni:

1.Kima
2.Ndedere
3.Tumbili
4.Nyani
5.Sokwe

Ahsante
Huyu ni Sokwe
 

Attachments

  • Screenshot_2017-11-27-06-03-42.png
    Screenshot_2017-11-27-06-03-42.png
    210.6 KB · Views: 69
Wana jamvi la JF naomba kujua tofauti ya wanyama hawa, iwe kwa majina, maumbile au kwa namna yeyote ile maana nimepata tabu kufahamu tofauti yao. Wanyama hao ni:

1.Kima
2.Ndedere
3.Tumbili
4.Nyani
5.Sokwe

Ahsante
Huyu ni tumbili aka ngedere
 

Attachments

  • Screenshot_2017-11-27-06-07-44.png
    Screenshot_2017-11-27-06-07-44.png
    149.4 KB · Views: 59
Ngedere na tumbili mmoja, yani kama unavyoita tembo na ndovu, utofauti upo tena mkubwa kwa mtu alieishi vijijini, anajua kutofautisha. Kima, Kima yeye ni mkubwa kidogo kuliko ngedere, na wana rangi yao broun hivi taofati na ngedere mwenye weupe weupe. Lkn pia hata lugha ya mazungumzo tofauti. Ngedere nae ni tofauti kwanza ngedere ni mwenye umbo dogodogo, na sura ya ngedere ni ya kuvutia kdg, yani isingekua komwe, alitaka kufanana na paka. Nyani , nyani nae nadhani wengi mnamjua.
 
Ni kima mdogo, halingani na gorilla, chimpanzee
Maelezo yote ya tumbili, ngedere, hatujayakataa lakini kwa ufafanuzi sahihi wore wako katika class mammalian iitwayo Ape ambayo imegawanyika Mara mbili wakubwa na wagogo. Lakini genetics zao zinafanana akiwemo Binadamu.
 
Eti ndegere badala ya NGEDERE...! Hahahaha. Hawa ni jamii moja wanaitwa ni primate family.
 
Mitind

Mitindo Huru,
Nakusihi sana kama huna majibu ya maswali ya Mtu anaependa kujua acha kujibu dhihaka Tafadhali ingawaje muuliza swali pia atambue hakuna mnyama anaitwa Ndedere Huyo amemleta yeye.
Wabobezi Wa Genetics ndio wenye jibu kamili la Swali hili.
Hii ni sehemu huru ya kuchangia mawazo so sio jibu kwako lakini ndio mchango wake ili mradi tu hajatoa matusi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom