Siku hizi ITV nayo imekuwa kama TBC kwani habari zao siku hizi ni kuipongeza tuu serikali na kutotoa kabisa habari za upinzani hili ni janga kubwa kwa vyombo vya habari hasa hicho chombo kinachojiita Super brand,
Binafsi kwa upande wangu naona Azam two wapo vizur na wanastahili kuwa super brand kwani wanatoa habari kwa kuzingatia objectivity ethics
Binafsi kwa upande wangu naona Azam two wapo vizur na wanastahili kuwa super brand kwani wanatoa habari kwa kuzingatia objectivity ethics