Kuna hili dawati nimekuwa nikilisikia lipo Polisi -Dawati la Jinsi na Watoto hivi hili majukumu yake ni Yapi Zaidi??
Mbona kama linafanya sawa na ambavyo Ustawi wa Jamii ni Jukumu lao...
Mwenye...
Tuna utitiri wa vyombo vya habari lakini habari nyingi zinazoandikwa ni za siasa, michezo na vibweka vya mastaa.
Utasikia leo huyu kahama chama, huyo kamjibu raisi vile, msanii huyu kazaa na yule...
Maombi ya Askofu wa Kanisa Anglikana Dayosisi ya Victoria Nyanza (DVN), Boniface Kwangu, ya kutaka mahakama izuie baraza la maaskofu kumfuta kazi hiyo yametupiliwa mbali na mahakama ya hakimu...
Natabiri lile kundi lilikuwa organised na marehemu Didas Masaburi litaibuka tena siku Dr slaa akirudi Bongo kuja kula kiapo,lengo likiwa lilelile kuonyesha kwamba chadema bila slaa ni dhoofu...
Wana jamvi, wapi naweza kupata ofisi za kampuni za kusafirisha mizigo kwenda Arusha, Kilimanjaro hapa Dar es Salaam, nina mzigo nataka niusafirishe na sijui hata kampuni moja. Msaada tafadhali!
Ninaomba kuuliza, ninahitaji kufahamu endapo mnufaikaji wa mkopo kutoka HESLB akaamua kukimbilia nchi jirani kutafuta ajira. Je serikali itamzuia asipate vibali vya kazi/work permit ya kule au...
Kwa kifupi tu naandika kitu, naomba utafakari kama great thinker mihemuko weka pembeni
Kipindi cha Kikwete, nchi iliingia kwenye beef mbili kubwa na Malawi na Rwanda ila katika mitandao haswa...
Sijawahi kuleta Uzi kwenu wadau ila nimehisi nna jambo lakuongea pengine wawili watatu wakaungana na mimi kwenye hili.
Kwanza ningeanza na maana ya neno lenyewe "UZALENDO"
UZALENDO ni ile hali...
Jana nilifanikiwa kupata aerial view ya zile hostel mpya zilizogharimu bilioni kumi, kweli nilisikitika sana kwa tule tujengo tolivyokaa kama nyumba za Tembe maarufu sana mikoa ya kanda ya kati...
Gwajima amesema sheria inaosema kubomolewa kwanyumba zilizo karibu na barabara ina utata mkubwa, na hata Marekani hawana hiyo
Ila amesema atakusanya wahandisi wake na wataenda kupima mita 90 na...
Habari za muda huu wakuu.
Kwa sasa nipo Kondoa ila mke wangu kasimamishwa na trafiki maeneo ya Mikocheni kwa Warioba aliomba vitu kadhaa ikiwemo leseni ya udereva, fire extinguisher, reflector...
Naibu Waziri wa Madini Mhe.Stanslaus Haroon Nyongo,amesema watanzania zaidi ya mia 600, wanatarajia kupata ajira katika kipindi cha mwanzo wa ujenzi wa mgodi wa kampuni ya Uranex...
Kuna roho nyingi zinazofanya kazi. Kazi za kusonga Na kazi ya kubomoa. Kazi ya kupatanisha Na kazi ya kufarakanisha.
Roho ya uharibifu ni roho yenye nguvu sana. Itaharibu ndoa yako, gari yako...
Madai haya yaliyotolewa na mwanachama anayeitwa ikipendaroho kuwa TBS haifanyi kazi ipasavyo kwenye uzi huu
TBS wanarudisha nyuma utowaji wa mizigo bandarini.
Inaelezwa kuwa matumizi ya nishati asilia ni kichocheo kikubwa cha maambukizi ya mfumo wa upumuaji (Acute Respiratory Infection) ambayo yanaongoza kusababisha vifo vya watoto walio chini ya miaka...
Natoa rai kwa Wizara hii inayohusika na jinsia na watoto ambapo nadhani pia kitengo cha ustawi wa jamii ni idara iliyoko chini yake kuweka mkakati wa kuwasaidia hawa single mothers.
Juzi...
Wakurugenzi wa Kampuni ya Sixtelecom, Peter Noni na Dk.Ringo Tenga, Ofisa Mkuu wa Fedha, Noel Chacha na Mhandisi wa Kampuni hiyo, Rashid Shamte, wamefikishwa mahakamani kwa uhujumu uchumi kwa...
Kiukweli had ifike 2020 kama upinzani hawajapata namna ..ni ngumu saana,..nafahamu kuna watu hawapendi kukubaliana na uhalisia na ukweli, ila kama hukubaliani basi sawa ila kuichomoa CCM...