ZE NDINDINDI
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 1,885
- 4,010
Kwa kifupi tu naandika kitu, naomba utafakari kama great thinker mihemuko weka pembeni
Kipindi cha Kikwete, nchi iliingia kwenye beef mbili kubwa na Malawi na Rwanda ila katika mitandao haswa hapa JF tuliweka itikadi zetu za kisiasa pembeni na ku mpa moyo Rais kwenye social media
The same thing hata Kagame, Museveni na Uhuru walipomtenga na kuanzaisha coalition of willing(COW). Ila sasa kuna kitu kinamea kwa kasi, mfano mzuri ni hii habari ya hostel feki za UDSM zimeanza kutoa nyufa. Nadhani wenyewe mmeona jinsi kundi moja linavyoshangilia na jingine likitetea kwamba hizo picha ni za sehemu nyingine
My Point is; Kwa hali hii inayoendelea nchini ya kunyanyasa kundi fulani na kubeba jingine kwa lazima kama vile mtoto mayai na mtoto wa kambo Tutarajie shangwe za kutosha katika failures ambazo binafsi natarajia zitakuja nyingi mpaka sehemu ya kuzihifadhia kutakuwa hakuna
Kipindi cha Kikwete, nchi iliingia kwenye beef mbili kubwa na Malawi na Rwanda ila katika mitandao haswa hapa JF tuliweka itikadi zetu za kisiasa pembeni na ku mpa moyo Rais kwenye social media
The same thing hata Kagame, Museveni na Uhuru walipomtenga na kuanzaisha coalition of willing(COW). Ila sasa kuna kitu kinamea kwa kasi, mfano mzuri ni hii habari ya hostel feki za UDSM zimeanza kutoa nyufa. Nadhani wenyewe mmeona jinsi kundi moja linavyoshangilia na jingine likitetea kwamba hizo picha ni za sehemu nyingine
My Point is; Kwa hali hii inayoendelea nchini ya kunyanyasa kundi fulani na kubeba jingine kwa lazima kama vile mtoto mayai na mtoto wa kambo Tutarajie shangwe za kutosha katika failures ambazo binafsi natarajia zitakuja nyingi mpaka sehemu ya kuzihifadhia kutakuwa hakuna