Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

salaam, Nipo hapa ofisi za manispaa ya dodoma kitengo cha ardhi zamani ikifahamika kuwa ni CDA dodoma. Ninachokiona hapa hakuna kilichobadilika tangu rais magufuli aivunje hii cda, migogoro na...
0 Reactions
0 Replies
746 Views
huwa sielewi inahitajika TSH ngapi kuweka rami hiki kipande cha barabara ambacho karibu asilimia 75 ya daladala hupita. nimepita mitaa hiyo baada ya kutopita miaka mingi, nimekula poda hadi...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Jamani viwanja vya bwana mdogo makonda vp? Vimeishia wapi? Mbona kimya sana, watumishi wa umma Dar tujibuni mmeshapata?
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Usafiri wa kwenda hospitali ni kitu muhimu sana na wakati mwingine ni dharura. Wenzetu wana mabarabara yanayowezesha magari ya wagonjwa kusafiri kwa haraka. Na bado hospitali zao zina...
1 Reactions
2 Replies
845 Views
Nauliza tu, labda humu wapo walio na majibu mazuri kuliko wale waliopo kwenye mamlaka husika. Kwamba, kwa kipindi kirefu kumekuwa na vurugu mechi kweye hii mifuko ya jamii. Mfuko wa LAPF umekuwa...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
bb
5 Reactions
38 Replies
3K Views
Kenya na Rwanda hakuna kitu ambacbo mgeni atapata hata wakiruhusiwa kwenda huko bila visa. Kenya na Rwanda kila kitu kina mwenyewe, sio kama Tanzania kila kitu ni mali ya serikali. Bei ya...
20 Reactions
74 Replies
6K Views
Nina safari ya zaidi ya 6 months, kwangu naweza kumwachia dada yangu akae while am gone, ila siwezi kumwachia ndinga yangu kabsaa maana namjua, sina ndugu mwingne town hapa wa kumwachia, je kuna...
5 Reactions
212 Replies
16K Views
Vilio, Simanzi na Majonzi makubwa yametawala jioni hii katika Wilaya ya Ngara, Mkoani Kagera ktk Kijiji cha Murusagamba, baada ya kutokea kwa vifo vya Watu watatu. Vifo hivyo vinahusishwa na...
1 Reactions
34 Replies
4K Views
Kwa mfano kuna beat naisikia redio tumaini sasa hivi kwenye kipindi cha kumbukumbu za kihistoria naipenda sana msaada please. kama nawe unahitaji weka yako hapa usaidiwe...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Kwa miaka mingi njia ya majadiliano ya hoja zinazokinzana maarufu kama 'debate' imekuwa ni kivutio kikubwa kwa wasikilizaji, sio tu kwa mada zinazojadiliwa bali hata kwa namna na mtindo wa...
1 Reactions
37 Replies
6K Views
Jamani nimetumiwa msg hii -> ((( YOUR CELL NO.HAS WON YOU £850,000 IN D ONGOING 2017 COCA COLA MOBILE DRAW IN UK,TO CLAIM; SEND YOUR NAME,AGE & NUMBER TO: cocaukpa@outlook.com. ))) Namba...
0 Reactions
20 Replies
6K Views
Kipindi hiki watajulikana...... Maana wote wanaohama hawana hoja za maana
0 Reactions
0 Replies
674 Views
Zoezi la kukamata Cd,Dvd kwaa maana kwamba feki linaathiri uchumi wa vijana kwa kukamata mali zao ,serekali ichunguze vizuri ,tatizo sio cd fake tatizo ni juu ya tafsri ya filamu hizo, kwa kuwa...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Kwa zaidi ya wiki nimekuwa namuona ndege aina ya mwewe anga la Darisalama, hasa nyakati za asubuhi. Hivi huyu mwewe kurandaranda angani inamaanisha nini, au kuna mizoga sehemu?
3 Reactions
47 Replies
6K Views
Hili kanisa nimeliona Duomo, Milan Taliano huko.
0 Reactions
14 Replies
2K Views
ITV LEO MMEONESHA MALALAMIKO YA WACHIMBAJI WADOGO MKOA WA GEITA NADHANI NI MBOGWE, NAULIZA KIJANA ALIEKUWA ANANYESHEWA MVUA ALIKUWA NI BUBU HUKU AKIMSUBILI MKUU WA MKOA?KAMA ALIKUWA ANAONGEA...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Helo, Mimi sio mtaalamu wala mjuzi wa mambo ya saikolojia, Ila nnaloandika ni kama hoja nijifunze. Ni kawaida katika hizi social nets kuona badhi ya member tunaweka picha ama zetu ama kitu...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Wadau, Utafiti wa Chuo Kikuu London kwa kushirikisha kituo kimoja cha ushauri wa afya Ghana umegundua kuwa madaktari wengi wa nchi za kusini mwa Afrika wanekuwa wakizidisha dawa kwa wagonjwa...
5 Reactions
33 Replies
3K Views
Salaam wakuu Walokole wenzangu, Bwana asifiwe na hongeleni kwa ibada za kukanyaga mafuta, kupanda na kuvuna na ibada za kufunguliwa kutoka kwenye vifungo mbali mbali. Kuna kitu leo ntaomba...
2 Reactions
10 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…