HOSPITALI KUBWA ZIWE NA MATAWI

HOSPITALI KUBWA ZIWE NA MATAWI

Princemwalejr

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2017
Posts
496
Reaction score
492
Usafiri wa kwenda hospitali ni kitu muhimu sana na wakati mwingine ni dharura.

Wenzetu wana mabarabara yanayowezesha magari ya wagonjwa kusafiri kwa haraka. Na bado hospitali zao zina mahelikopta ya kuwahisha wagonjwa hospitali bila ya kukwama kwenye misongamano ya magari.

Mbali na hayo hospitali zao zina matawi. Utakuta hospitali moja ndani ya mkoa mmoja ina matawi kama manne hivi ili kusogeza huduma za afya kwa wananchi.

Ngoma iko kwetu. Hatuna barabara nzuri wala leni za dharura barabarani. Hatuna helikopta na hospitali inayotegemewa inakuwa moja tu kwa mikoa iliyojaaliwa kuwa na hospitali kubwa. Hivi kweli ukilazimika kupelekwa Muhimbili kutokea Tandika ndani ya saa moja utafika?

Kuepuka tatizo hili wenzetu hospitali zao zina matawi yenye uwezo sawa wa kutoa huduma za afya.
Nazungumzia Muhimbili iwe na matawi Kinondoni na Temeka na kila tawi utakaloenda mapigo ni yale yale. Dokta dokta kweli, X Ray na MRI ni X Ray na MRI. Hivyo ndivyo wanavyokwenda wenzetu.

Ubishi usiokuwa na tija ruksa!

1d26ee8ac4e251ed97711dc8ce797a81.jpg


f0addf5b4b858e404bf4ebffb4db8a06.jpg


1622beb337a62aa98936b8f4c7b32ed0.jpg


59cda4dd7d8a7b8b48549918e99923e1.jpg


f0462de6f4c75786bcd1197ae8955c0a.jpg
 
Usafiri wa kwenda hospitali ni kitu muhimu sana na wakati mwingine ni dharura.

Wenzetu wana mabarabara yanayowezesha magari ya wagonjwa kusafiri kwa haraka. Na bado hospitali zao zina mahelikopta ya kuwahisha wagonjwa hospitali bila ya kukwama kwenye misongamano ya magari.

Mbali na hayo hospitali zao zina matawi. Utakuta hospitali moja ndani ya mkoa mmoja ina matawi kama manne hivi ili kusogeza huduma za afya kwa wananchi.

Ngoma iko kwetu. Hatuna barabara nzuri wala leni za dharura barabarani. Hatuna helikopta na hospitali inayotegemewa inakuwa moja tu kwa mikoa iliyojaaliwa kuwa na hospitali kubwa. Hivi kweli ukilazimika kupelekwa Muhimbili kutokea Tandika ndani ya saa moja utafika?

Kuepuka tatizo hili wenzetu hospitali zao zina matawi yenye uwezo sawa wa kutoa huduma za afya.
Nazungumzia Muhimbili iwe na matawi Kinondoni na Temeka na kila tawi utakaloenda mapigo ni yale yale. Dokta dokta kweli, X Ray na MRI ni X Ray na MRI. Hivyo ndivyo wanavyokwenda wenzetu.

Ubishi usiokuwa na tija ruksa!

1d26ee8ac4e251ed97711dc8ce797a81.jpg


f0addf5b4b858e404bf4ebffb4db8a06.jpg


1622beb337a62aa98936b8f4c7b32ed0.jpg


59cda4dd7d8a7b8b48549918e99923e1.jpg


f0462de6f4c75786bcd1197ae8955c0a.jpg
viongoze wetu na wasomi wetu,wakienda njee huenda kushangaa magorofa kuja na iphone tu
 
Back
Top Bottom