goodfool
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 1,664
- 993
Helo,
Mimi sio mtaalamu wala mjuzi wa mambo ya saikolojia,
Ila nnaloandika ni kama hoja nijifunze.
Ni kawaida katika hizi social nets kuona badhi ya member tunaweka picha ama zetu ama kitu chochote.
Picha hizo zinakuwa na mwitikio fulani katika fikra za mtu.
Hapa Jf vipicha vingi si halisi/vya muhusika kiuhalisia.
Ila vimekuwa na mguso sana katika hisia za watu tofauti tofauti (wanachama)
Naomba nitoe mfano, vipicha vya members wa kike kama vile Maserati, kapeace, princesses ariana, shunie, espy, Inah, miss natafuta, nk
Vimekuwa vikiwadatisha watu.
Hata mimi nkiona tu comment zao napata ka msisimko fulani. Na like tuu ata kama si jambo lamuhimu (ka weakness haka kila mtu anako bhana) anyway
Ila kama wangeweka mapicha kama yangu ni hakika ningekuwa normal tu.
Wapo pia members wenye ID photo nzuri kuzidi hao pia (males) i.e akina D Kisandu, Gudume, Natoka hapa Nk
Wanawake pia huenda wanavutiwa na zimewakaa sana kichwani picha hizo zikijenga uhalisia (kwa mfano fikiria kama kuna member unamkubali sana alafu humjui kwa sura, picha gani itakujia hata ukichati nae PM?
Ok, ni kamtazamo tu wakuu.
Mimi sio mtaalamu wala mjuzi wa mambo ya saikolojia,
Ila nnaloandika ni kama hoja nijifunze.
Ni kawaida katika hizi social nets kuona badhi ya member tunaweka picha ama zetu ama kitu chochote.
Picha hizo zinakuwa na mwitikio fulani katika fikra za mtu.
Hapa Jf vipicha vingi si halisi/vya muhusika kiuhalisia.
Ila vimekuwa na mguso sana katika hisia za watu tofauti tofauti (wanachama)
Naomba nitoe mfano, vipicha vya members wa kike kama vile Maserati, kapeace, princesses ariana, shunie, espy, Inah, miss natafuta, nk
Vimekuwa vikiwadatisha watu.
Hata mimi nkiona tu comment zao napata ka msisimko fulani. Na like tuu ata kama si jambo lamuhimu (ka weakness haka kila mtu anako bhana) anyway
Ila kama wangeweka mapicha kama yangu ni hakika ningekuwa normal tu.
Wapo pia members wenye ID photo nzuri kuzidi hao pia (males) i.e akina D Kisandu, Gudume, Natoka hapa Nk
Wanawake pia huenda wanavutiwa na zimewakaa sana kichwani picha hizo zikijenga uhalisia (kwa mfano fikiria kama kuna member unamkubali sana alafu humjui kwa sura, picha gani itakujia hata ukichati nae PM?
Ok, ni kamtazamo tu wakuu.