Kuna Makanisa Yamejengeka Jama!

Kuna Makanisa Yamejengeka Jama!

Princemwalejr

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2017
Posts
496
Reaction score
492
3e9129c038fa6393cd9ac7ebac037cc0.jpg


Hili kanisa nimeliona Duomo, Milan Taliano huko.
 
Ukitoka nyumba ya ibada hutakiwi kumuongalia ke kwa nyuma....utamwachia baraka zako.
 
Afu hyo chura ni ya mbantu mwenzetu kabisa
 
Sadaka ndo zimefanya mavitu sasa huyo muumini atasababisha wazee watoke Na sadaka waje kuhonga
 
Waswahili bana mada ya kanisa chura ndio nini tena[emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu unataka kuniambia huyo aliyepiga picha alishindwa kusimama mbele ya hyo chura ili tulione kanisa pekee?
 
Back
Top Bottom