Kuna mwewe anga la Dar es Salaam

Kuna mwewe anga la Dar es Salaam

CHA The GREAT

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2010
Posts
651
Reaction score
854
Kwa zaidi ya wiki nimekuwa namuona ndege aina ya mwewe anga la Darisalama, hasa nyakati za asubuhi. Hivi huyu mwewe kurandaranda angani inamaanisha nini, au kuna mizoga sehemu?
 
Kwa zaidi ya wiki nimekuwa namuona ndege aina ya mwewe anga la Darisalama, hasa nyakati za asubuhi. Hivi huyu mwewe kurandaranda angani inamaanisha nini, au kuna mizoga sehemu?
kwa jinsi ulivyoandika tu, unaonekana kuna baadhi la level za elimu hujapitia, anyway ukanda wa pwani mwewe ni wengi mkuu, huwa wanapenda kula samaki, pamoja na viumbe wengine wadogo wadogo.
Au ulihisi ni mwewe wa clouds tv? akija tena mpige manati umlete huku tumjadili!
 
kwa jinsi ulivyoandika tu, unaonekana kuna baadhi la level za elimu hujapitia, anyway ukanda wa pwani mwewe ni wengi mkuu, huwa wanapenda kula samaki, pamoja na viumbe wengine wadogo wadogo.
Au ulihisi ni mwewe wa clouds tv? akija tena mpige manati umlete huku tumjadili!

Mwewe au Tai mkuu??
 
Sijawahi kuona mwewe...kuna kunguru wa dar hawa wanabeba hadi chupi ukianika pambaff
 
Kwa zaidi ya wiki nimekuwa namuona ndege aina ya mwewe anga la Darisalama, hasa nyakati za asubuhi. Hivi huyu mwewe kurandaranda angani inamaanisha nini, au kuna mizoga sehemu?
simu imekuaribu sana kuinama,ulisha fuga hata kuku
 
Kwa zaidi ya wiki nimekuwa namuona ndege aina ya mwewe anga la Darisalama, hasa nyakati za asubuhi. Hivi huyu mwewe kurandaranda angani inamaanisha nini, au kuna mizoga sehemu?
Najaribu kukuelewa
Mwewe + Chawa
Wameongezeka sana kipindi hiki.

Najua umenielewa
 
Back
Top Bottom