Hivi mtumishi anapoacha kazi au kuachishwa kazi bima ya afya inakoma kutumika baada ya muda gani?
Na je kama kaachishwa kazi na ktk mzingira fulani i.e rufaa akarudi kazi anaweza kuendelea na...
Jambo wanaforum wenzangu leo naona tupeane akili kidogo kuhusu vitu gani hupaswi kufanya ukiwa kama mwanajamii na mgeni katika hio jamiii.
Naaanza kwa kusema hupasi kufanya ukaribu wa kupitiliza...
Leo nikiwa barabarani tena barabara kuu nimeokea singida kwenda Dodoma nimepita Zebra nikiwa speed 45km/h nikajua nipo safe na ghafla askari kanipiga mkono. wameanza kufuatilia sheria ya kusimama...
Wana Jf,
Nianze kwa kuwapongeza wachungaji, maaskofu na wengine wanojitahidi kueneza neno la Mungu.
Baada ya pongezi hizi niende moja kwa moja katika mada. Ni kwa muda mrefu jamii imekuwa...
Wanajanvi za mda huu?
Nisiwachoshe, hivi wale watoto waliolawitiwa sasa hivi si wana umri mkubwa tu? Wana kuanzia miaka 20 na kuendelea maana kwa wale waliokuwa na miaka 6 sasa hivi watakuwa na...
Polisi wa usalama barabarani leo walizuia mabasi yanayoenda mikoani yapatayo kumi kutokana na ubovu wa magari hayo,nawashauri wasisahau kuyapitia budget ya mbeya,upendo,nganga maan a bila...
JESHI la Polisi Mkoa wa Kusini Unguja, linamshikilia kijana wa miaka 30 kwa tuhuma za kuwabaka watoto wanne, wawili wa familia moja.
Tukio hilo limeripotiwa Desemba 8, mwaka huu, huko Muyuni A...
Wana jamvi
Hili nimeliona sana, ma Rais wa bara la Afrika wanapoingia makanisani au msikitini huwa wanaombewa maombi ya Baraka ya kuiongoza nchi na sio maombi ya kukemea shetani na mapepo...
Inaelezwa kuwa vikosi vya jeshi la Tanzania kuendelea kulinda amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (Congo DRC) licha ya kupoteza wanajeshi wake 14 katika shambulio dhidi ya waasi...
"Kama hakuna mikutano ya hadhara, RUZUKU kwa vyama vya siasa inaliwa bure"..
Habari hii imeindikwa na gazeti la Tanzania Mpya, kurasa ya 10.
Je ni kweli au wazo hili linataka kuwapa changamoto...
Wadau kama kichwa kinavyosema hapo juu na naimani nitapata ideas nyingi humu kwa wadau.
Nimeajiriwa yapita mwaka sasa baada ya kupita sana JF nikafunguka kuona kwamba ajira ni utumwa hasa ikiwa...
Johnny Was"
(Wo-o-o-o! Wo-o-o-o! Wooo!)
Woman hold her head and cry,
'Cause her son had been shot down in the street and died
From a stray bullet.
Woman hold her head and cry;
Explaining to her...
Ndugu zangu Watanzania Mamlaka ya Hali ya Hewa Nchini, TMA imetaarifu kuwa usiku wa kuamkia kesho kutakuwa na mvua kubwa zinazozidi Milimita 50 ndani ya masaa 24.
Kiwango cha Uhakika ni Juu ya...
Katika jambo ambalo limenishangaza ni hili la Watanzania kushangilia kuachiwa huru kwa wabakaji na walawiti, tena watu ambao walikuwa wanabaka na kulawiti vitoto vidogo, leo hii watu...
Kiongozi wa kanisa Katoliki duniani Papa Francis ameomba maombi maarufu ya Kikristo ya Baba Yetu yafanyiwe marekebisho.
Anataka sehemu ambayo huzungumzia vishawishi ilitafsiriwa vibaya.
Asema...
Elisha Gray alikuwa mtu wa kwanza kupata wazo la kusafirisha sauti kwenye waya (teknolojia ya simu) hata hivyo alizembea kuchukua hatua kwenda kusajili,kila siku alikuwa anaghairisha.Baada ya Muda...
Simulizi Hii imesimuliwa Na January Makamba kwenye ukuta wake wa Facebook.
Kule kwenye kilele cha mlima ndio kijijini kwetu, panaitwa Mahezangulu, Bumbuli. Kabla ya kuanza safari ya kupanda...
Kaimu Mkurugenzi masuala ya wateja wa Mamlaka ya udhibitiwa huduma wa nishati na maji(ZURA) Mussa Ramadhani Haji akizungumza na waandishi wa habari huko ofisini Maisara Zanzibar.(Picha na Kijakazi...