Tahadhar kwa madereva

Tahadhar kwa madereva

KIDUDU

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2012
Posts
2,558
Reaction score
1,928
Leo nikiwa barabarani tena barabara kuu nimeokea singida kwenda Dodoma nimepita Zebra nikiwa speed 45km/h nikajua nipo safe na ghafla askari kanipiga mkono. wameanza kufuatilia sheria ya kusimama kwenye zebra, my friend kuweni makini, 30 itahusu mtu.
 
hii sasa hivi hata dar unalambwa ,,yaani hawa wametumwa pesa
 
Barabarani kwa moto....
Mtaani napo hadi uchochoroni kwa moto ukipanda Boda Boda hakikisha umevaa helment maana askari wanawabeba dereva hadi abiria wote mtatolewa hela au kupelekwa polisi

Ova
 
madereva ni chanzo cha mapato nchi hii
 
jamani naomba kufahamishwa hata kama unaona hakuna watu wanaovuka lazima usimame?
Kusimama hasa sijui kwa kweli, ila kupunguza mwendo ni muhimu. Mi binafsi huwa nachana tu kama hamna watu. na kama kuna watu wanavuka kwa pozi huwa napeleka kidog kidogo ili waharakishe 😀
 
Hapa dsm sehem wanayokamata sana kwa kosa la kutosimama kwny zebra ni pale round about ya kigogo madereva muwe makini haswa kama unatokea ilala kuja magomeni
 
Back
Top Bottom