Kwanini Rais wa Afrika huombewa baraka tu na si kukemea pepo/shetwani wa ukiukwaji wa Katiba uliomo ndani yao

Mung Chris

JF-Expert Member
Sep 12, 2017
3,367
3,778
Wana jamvi


Hili nimeliona sana, ma Rais wa bara la Afrika wanapoingia makanisani au msikitini huwa wanaombewa maombi ya Baraka ya kuiongoza nchi na sio maombi ya kukemea shetani na mapepo yaliyomo ndani mwao ya ukiukwaji wa katiba na haki za binadamu anapo bainika kufanya hivyo, huwa ni kwanini. Walio fariki wanasemwa kwa mazuri tu sio mabaya haya tuje kwa walio hai kwanini, je ni uoga wa wachungaji/ mashekhe au tatizo ni nini.
 
Naombeni mniombee watanzani ndungu zangu.kinyume chake.watu wanuwawa watu wanapigwa risasi watu wanatekwa watu wanaokotwa ziwani kibiti watoto wamepotea bunge umezuia,@anataka kuombewa tema mate


Swissme
 
Naombeni mniombee watanzani ndungu zangu.kinyume chake.watu wanuwawa watu wanapigwa risasi watu wanatekwa watu wanaokotwa ziwani kibiti watoto wamepotea bunge umezuia,@anataka kuombewa tema mate


Swissme
Mbona una kiherehere sana?
Naombeni mniombee watanzani ndungu zangu.kinyume chake.watu wanuwawa watu wanapigwa risasi watu wanatekwa watu wanaokotwa ziwani kibiti watoto wamepotea bunge umezuia,@anataka kuombewa tema mate


Swissme
 
Naombeni mniombee watanzani ndungu zangu.kinyume chake.watu wanuwawa watu wanapigwa risasi watu wanatekwa watu wanaokotwa ziwani kibiti watoto wamepotea bunge umezuia,@anataka kuombewa tema mate


Swissme
Mbona una kiherehere sana?
Naombeni mniombee watanzani ndungu zangu.kinyume chake.watu wanuwawa watu wanapigwa risasi watu wanatekwa watu wanaokotwa ziwani kibiti watoto wamepotea bunge umezuia,@anataka kuombewa tema mate


Swissme
 
Back
Top Bottom