Kwanini Tanzania haijawaondoa wanajeshi wake nchini Congo DRC?

Kwanini Tanzania haijawaondoa wanajeshi wake nchini Congo DRC?

FikraPevu

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2010
Posts
304
Reaction score
236
Inaelezwa kuwa vikosi vya jeshi la Tanzania kuendelea kulinda amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (Congo DRC) licha ya kupoteza wanajeshi wake 14 katika shambulio dhidi ya waasi, inatajwa kuwa ni hatua ya kudumisha uhusiano wa kibiashara na nchi hiyo.

Wiki iliyopita wanajeshi 14 wa Tanzania na 5 wa Congo DRC waliuwawa na wengine zaidi ya 44 walijeruliwa katika shaumbulio linalotajwa kuwa baya tangu mapigano dhidi ya waasi yaanze katika ukanda wa mashariki mwa nchi hiyo hasa eneo la Kivu ambalo kwa sehemu kubwa linazungukwa na makundi ya waasi.

Kwa mujibu wa Umoja wa Taifa (UN) unasema shambulio hilo lilitokea Desemba 7 mwaka huu katika kambi ya jeshi ya ulinzi wa amani (MONUSCO). Waasi wa kundi la Allied Democratic Forces (ADF) walivamia kambi ndogo iliyopo eneo la daraja la mto Simulike barabara ya kutokea Oicha kwenda Kamanga mpakani mwa Uganda Kaskazini Mashariki ya Wilaya ya Beni, jimbo la Kivu Kaskazini.

Siku chache baada ya shambulio hilo serikali ya Tanzania kupitia Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), Luteni Jenerali James Mwakibola alisema shambulio hilo limeleta madhara makubwa lakini kikosi chao kilichopo huko kina uwezo wa kutekeleza majukumu kwa uweledi na umahiri stahiki.

Msimamo huo wa serikali unathibitisha wazi kuwa vikosi hivyo vitaendelea kuwepo katika nchi hiyo ili kurejesha amani na kuimarisha uhusiano uliopo ikiwemo kukuza shughuli za kibiashara baina ya nchi hizo mbili.

Zaidi, soma hapa => Sababu za wanajeshi wa Tanzania kuendelea kulinda amani nchini Congo DRC | FikraPevu
 
kwahiyo hii nayo kumbe inaweza kuwa ni vita ya kiuchumi!!
lkn dah! watu 14 si mchezo.
 
Inaelezwa kuwa vikosi vya jeshi la Tanzania kuendelea kulinda amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (Congo DRC) licha ya kupoteza wanajeshi wake 14 katika shambulio dhidi ya waasi, inatajwa kuwa ni hatua ya kudumisha uhusiano wa kibiashara na nchi hiyo.

Wiki iliyopita wanajeshi 14 wa Tanzania na 5 wa Congo DRC waliuwawa na wengine zaidi ya 44 walijeruliwa katika shaumbulio linalotajwa kuwa baya tangu mapigano dhidi ya waasi yaanze katika ukanda wa mashariki mwa nchi hiyo hasa eneo la Kivu ambalo kwa sehemu kubwa linazungukwa na makundi ya waasi.

Kwa mujibu wa Umoja wa Taifa (UN) unasema shambulio hilo lilitokea Desemba 7 mwaka huu katika kambi ya jeshi ya ulinzi wa amani (MONUSCO). Waasi wa kundi la Allied Democratic Forces (ADF) walivamia kambi ndogo iliyopo eneo la daraja la mto Simulike barabara ya kutokea Oicha kwenda Kamanga mpakani mwa Uganda Kaskazini Mashariki ya Wilaya ya Beni, jimbo la Kivu Kaskazini.

Siku chache baada ya shambulio hilo serikali ya Tanzania kupitia Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), Luteni Jenerali James Mwakibola alisema shambulio hilo limeleta madhara makubwa lakini kikosi chao kilichopo huko kina uwezo wa kutekeleza majukumu kwa uweledi na umahiri stahiki.

Msimamo huo wa serikali unathibitisha wazi kuwa vikosi hivyo vitaendelea kuwepo katika nchi hiyo ili kurejesha amani na kuimarisha uhusiano uliopo ikiwemo kukuza shughuli za kibiashara baina ya nchi hizo mbili.

Zaidi, soma hapa => Sababu za wanajeshi wa Tanzania kuendelea kulinda amani nchini Congo DRC | FikraPevu

Watatoka Kaka, Issue ikiwaa kama hivyo, ni aidha vikosi vitolewe au viamishwe sehemu nyinge, kwa asilimia kubwa kikosi cha Tanzania kinaweza amishiwa Beni, sehemu ambayo iko safe kuliko hapo walipo sasa
 
We kweli fikra povu, ya tuondoe majeshi kwasababu gan! Hiyo ndo kaz ya jeshi, na wamekula kiapo. Dereva haachi kuendesha gari kwasababu ya ajari, Benki zinavamiwa kilasiku na majambazi hatuoni wakifunga, polisi wanauwawa na majambazi lkn hatuoni wengine wakijiuzulu kwa sababu hizo. Af leo muondoe wanajeshi Congo, hao ni wanajeshi kweli? Au unaleta mada za kudhalilisha Jeshi.
Inaelezwa kuwa vikosi vya jeshi la Tanzania kuendelea kulinda amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (Congo DRC) licha ya kupoteza wanajeshi wake 14 katika shambulio dhidi ya waasi, inatajwa kuwa ni hatua ya kudumisha uhusiano wa kibiashara na nchi hiyo.

Wiki iliyopita wanajeshi 14 wa Tanzania na 5 wa Congo DRC waliuwawa na wengine zaidi ya 44 walijeruliwa katika shaumbulio linalotajwa kuwa baya tangu mapigano dhidi ya waasi yaanze katika ukanda wa mashariki mwa nchi hiyo hasa eneo la Kivu ambalo kwa sehemu kubwa linazungukwa na makundi ya waasi.

Kwa mujibu wa Umoja wa Taifa (UN) unasema shambulio hilo lilitokea Desemba 7 mwaka huu katika kambi ya jeshi ya ulinzi wa amani (MONUSCO). Waasi wa kundi la Allied Democratic Forces (ADF) walivamia kambi ndogo iliyopo eneo la daraja la mto Simulike barabara ya kutokea Oicha kwenda Kamanga mpakani mwa Uganda Kaskazini Mashariki ya Wilaya ya Beni, jimbo la Kivu Kaskazini.

Siku chache baada ya shambulio hilo serikali ya Tanzania kupitia Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), Luteni Jenerali James Mwakibola alisema shambulio hilo limeleta madhara makubwa lakini kikosi chao kilichopo huko kina uwezo wa kutekeleza majukumu kwa uweledi na umahiri stahiki.

Msimamo huo wa serikali unathibitisha wazi kuwa vikosi hivyo vitaendelea kuwepo katika nchi hiyo ili kurejesha amani na kuimarisha uhusiano uliopo ikiwemo kukuza shughuli za kibiashara baina ya nchi hizo mbili.

Zaidi, soma hapa => Sababu za wanajeshi wa Tanzania kuendelea kulinda amani nchini Congo DRC | FikraPevu
 
Vita ina maslahi makubwa sana, ukiangalia nchi nyingi wanapopeleka majeshi ujue kuna biashara kubwa sana inafanyika.
Ndio maana utakuta na Wachina wamejikita huko wakiiba magogo na almasi.
Pia wafaransa hawatoki ng'oo bado wanavuna almasi.
Believe me vita ya maslahi ni ngumu sana kuisha.
Kwani wanawatumia rebels kuchunga mali zao wanazotorosha, sasa kama tunaisaidia serikali tutaumia sana kwani rebels wengi ni Askari waasi wanaopigana kwa ajili ya matumbo yao.
Halafu mtasema kuwa mzalendo ni mzawa tu, wakati wazawa wenyewe wanauza nchi yao kwa thamani ndogo.

Naunga mkono wanajeshi wetu warudi tu nyumbani kama hatuna maslahi kama wengine
 
kiapo na kauli mbiu ya mwanajeshi ni kusonga mbele na kumaliza adui sio kukimbia au kuondoa vikosi.
 
Inaelezwa kuwa vikosi vya jeshi la Tanzania kuendelea kulinda amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (Congo DRC) licha ya kupoteza wanajeshi wake 14 katika shambulio dhidi ya waasi, inatajwa kuwa ni hatua ya kudumisha uhusiano wa kibiashara na nchi hiyo.

Wiki iliyopita wanajeshi 14 wa Tanzania na 5 wa Congo DRC waliuwawa na wengine zaidi ya 44 walijeruliwa katika shaumbulio linalotajwa kuwa baya tangu mapigano dhidi ya waasi yaanze katika ukanda wa mashariki mwa nchi hiyo hasa eneo la Kivu ambalo kwa sehemu kubwa linazungukwa na makundi ya waasi.

Kwa mujibu wa Umoja wa Taifa (UN) unasema shambulio hilo lilitokea Desemba 7 mwaka huu katika kambi ya jeshi ya ulinzi wa amani (MONUSCO). Waasi wa kundi la Allied Democratic Forces (ADF) walivamia kambi ndogo iliyopo eneo la daraja la mto Simulike barabara ya kutokea Oicha kwenda Kamanga mpakani mwa Uganda Kaskazini Mashariki ya Wilaya ya Beni, jimbo la Kivu Kaskazini.

Siku chache baada ya shambulio hilo serikali ya Tanzania kupitia Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), Luteni Jenerali James Mwakibola alisema shambulio hilo limeleta madhara makubwa lakini kikosi chao kilichopo huko kina uwezo wa kutekeleza majukumu kwa uweledi na umahiri stahiki.

Msimamo huo wa serikali unathibitisha wazi kuwa vikosi hivyo vitaendelea kuwepo katika nchi hiyo ili kurejesha amani na kuimarisha uhusiano uliopo ikiwemo kukuza shughuli za kibiashara baina ya nchi hizo mbili.

Zaidi, soma hapa => Sababu za wanajeshi wa Tanzania kuendelea kulinda amani nchini Congo DRC | FikraPevu
JF bhana... Kupeleka wafanyakazi Uarabuni tunapiga kelele,Povu na kushadidia haswa!!! ila jeshi JWTZ kuenda DRC,comoro,UG nk nk!! mnatulia tuli !! labda kuweka aaamani?
 
Inaelezwa kuwa vikosi vya jeshi la Tanzania kuendelea kulinda amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (Congo DRC) licha ya kupoteza wanajeshi wake 14 katika shambulio dhidi ya waasi, inatajwa kuwa ni hatua ya kudumisha uhusiano wa kibiashara na nchi hiyo.

Wiki iliyopita wanajeshi 14 wa Tanzania na 5 wa Congo DRC waliuwawa na wengine zaidi ya 44 walijeruliwa katika shaumbulio linalotajwa kuwa baya tangu mapigano dhidi ya waasi yaanze katika ukanda wa mashariki mwa nchi hiyo hasa eneo la Kivu ambalo kwa sehemu kubwa linazungukwa na makundi ya waasi.

Kwa mujibu wa Umoja wa Taifa (UN) unasema shambulio hilo lilitokea Desemba 7 mwaka huu katika kambi ya jeshi ya ulinzi wa amani (MONUSCO). Waasi wa kundi la Allied Democratic Forces (ADF) walivamia kambi ndogo iliyopo eneo la daraja la mto Simulike barabara ya kutokea Oicha kwenda Kamanga mpakani mwa Uganda Kaskazini Mashariki ya Wilaya ya Beni, jimbo la Kivu Kaskazini.

Siku chache baada ya shambulio hilo serikali ya Tanzania kupitia Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), Luteni Jenerali James Mwakibola alisema shambulio hilo limeleta madhara makubwa lakini kikosi chao kilichopo huko kina uwezo wa kutekeleza majukumu kwa uweledi na umahiri stahiki.

Msimamo huo wa serikali unathibitisha wazi kuwa vikosi hivyo vitaendelea kuwepo katika nchi hiyo ili kurejesha amani na kuimarisha uhusiano uliopo ikiwemo kukuza shughuli za kibiashara baina ya nchi hizo mbili.

Zaidi, soma hapa => Sababu za wanajeshi wa Tanzania kuendelea kulinda amani nchini Congo DRC | FikraPevu[/QUOT
Adui ameshaanzisha vita sasa ni rasmi kuwa tafuta,UN kuna malipo wanalipa siyo kujitolea.


UN wanalipa , Sasa wapelekwe wengine ili iwe vita rasmi😉😉😉
 
Mimi sioni sababu ya kurudi nyuma.
Hakuna jambo jipya hapo, unapokwenda kwenye uwanja wa mapambano ni lazima ukubali yote ikiwa ni pamoja na hayo.
 
Anayesema wanajeshi wetu warudishwe bila shaka anaweza kuwa ana matatizo kidogo.
Ukweli ni kwamba, hata wakati wa vita vya Kagera kuna wanajeshi wetu waliuawa. Kwa maana hiyo tungekuwa na akili mbovu kama hizi tungeweza kuacha kupigania nchi yetu na kuwaridisha nyuma wanajeshi wetu.
Katika mtihani ukifeli somo moja suluhu yake ni kuacha shule au kukomaa mpaka unapofaulu?
 
Dawa ya adui ni kumfumua hadi hakueshimu haina haja ya kuwaondoa waendelee tu kupambana nao hadi wakimbie wenyewe.
 
Anayesema wanajeshi wetu warudishwe bila shaka anaweza kuwa ana matatizo kidogo.
Ukweli ni kwamba, hata wakati wa vita vya Kagera kuna wanajeshi wetu waliuawa. Kwa maana hiyo tungekuwa na akili mbovu kama hizi tungeweza kuacha kupigania nchi yetu na kuwaridisha nyuma wanajeshi wetu.
Katika mtihani ukifeli somo moja suluhu yake ni kuacha shule au kukomaa mpaka unapofaulu?
🙄
 
Back
Top Bottom