Senator jr
JF-Expert Member
- Apr 3, 2016
- 367
- 495
Ni mdogo wangu kaajiriwa hivi mwaka Jana October 2017 kada ya afya. Analalamika mpaka leo MISHAHARA hakuna. Hivi kweli sera ya good Governance inatumika vizuri?
Miezi minne mtu yuko kijijini hana mshahara si bora angebaki nyumbani hadi mishahara itoke maisha yenyewe magumu kiasi hiki.
Mheshimiwa Rais hiki kilio kikufikie.
Asanteni
Miezi minne mtu yuko kijijini hana mshahara si bora angebaki nyumbani hadi mishahara itoke maisha yenyewe magumu kiasi hiki.
Mheshimiwa Rais hiki kilio kikufikie.
Asanteni