Jidula Mabambasi ni nani?

Jidula Mabambasi ni nani?

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
26,535
Reaction score
61,972
Nimekuwa nasikia jina la huyu jamaa Jidula Mabambasi kwa siku nyingi lakini sijapata jibu sahihi.

Naombeni mnijuze huyu jamaa alikuwa ni nani, na pia ni nini kilimuua ghafla miezi michache kabla ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010?
 
Nimekuwa nasikia jina la huyu jamaa Jidula Mabambasi kwa siku nyingi lakini sijapata jibu sahihi.

Naombeni mnijuze huyu jamaa alikuwa ni nani, na pia ni nini kilimuua ghafla miezi michache kabla ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010?
I see, huyu jamaa alikuwa ni mwanasiasa kule jimbo la John Cheyo, watu wa Maswa wanasema alikuwa anakubalika zaidi ya Cheyo, kwa bahati mbaya kabisa, sikufuatilia tena na nilikuwa sijui kama ameshafariki. RIP JIDULA.
 
Huyu si memba mwenzetu humu? Au nimechanganya majina?
 
Huyu Amani Nzugile alikuwa mwanaccm kindakindaki na mfanyakazi wa Shirika la Bima la Taifa(NIC). Wakati fulani aliingia kwenye kura za maoni CCM moja ya jimbo huko kwa wasukuma bahati mbaya akapigwa chini, alishindwa kukubaliana na matokeo yale na ndo ukawa mwisho wake maana alikufa ghafla . Nimewahi kudate na mwanae enzi hizo.

=> Jidulamabambasi is no more!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom