FOLENI ZISIZO NA MSINGI KWENYE MABENKI.

FOLENI ZISIZO NA MSINGI KWENYE MABENKI.

Morgan Fisherman

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2017
Posts
1,928
Reaction score
2,320
habar zenu

hiv kwanini mabenk mengi ukienda unakuta madirisha ya huduma(tellers) yapo 8 au mengi lakin madirisha mawili tu ndo yana wahudumu

ina maana hizi benk hazna wafanyakazi wa kutosha mpaka wasababishe foleni zisizo na maana? au shida ni nini?
 
Issue ni kutumia rasilimali ipasavyo,wateja wakiwa wachache benki wanaoma ni bora waende mtaani kutafuta wateja wapya.kuliko kusubiri wateja mmoja mmoja.
 
Back
Top Bottom