Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Hi great thinkers katika maisha tunakumbana na mambo mengi ikiwamo ya kuhuzunisha na kubakisha kumbukumbu isiyofutika. Binafsi sitasahau mwaka 1995 nilipopata ajali nikiwa na mama yangu mzazi na...
1 Reactions
4 Replies
975 Views
Tibaijuka aalikwa na serikali ya ujerumani kusherekea sikukuu yao ya kitaifa
5 Reactions
60 Replies
7K Views
Miaka ya nyuma shule za st.mery zilizoko tabata,mbagala,mbezi za mama rwakatare Zilikuwa zikisifika kwa elimu bora na wanafunzi kuongea kingereeza lakini siku hizi hazisikiki kama ilivyokuwa...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari za majukumu hapa jukwaani. Moja kwa moja kwenye mada.wanaJF,wandungu, ktk maisha watu hawalingani na msaada ni jambo la kawaida sana. Hata mwenye uwezo anaweza kuhitaji msaada wa maskini...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Naandika kutoka kimara kibo na maeneo ya jirani jamani maji hayatoki wiki ya pili hapa na maeneo ya jirani vyoo vinanuka maradhi ya mlipuko yanatunyemelea jamani tuokooeni
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Aliyekuwa askari wa Jeshi la Polisi, PC George Bisongoza (30), aliyefukuzwa kazi mwaka 2013, amehukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kosa la kusafirisha magunia 18 ya bangi yenye thamani ya Sh55.7...
1 Reactions
64 Replies
9K Views
Plot ambapo nyumba ya ibada ya Pool of Siloam imejengwa ni kiwanja ambacho Munuo ambaye anajiita Nabii Eliya alimdhulumu Mzee Kimambo ambaye alikuwa amejenga nyumba yake hapo. Munuo yalitumia...
9 Reactions
80 Replies
26K Views
Habari za hapa!! Nimejaribu kuangalia , kwa wale wahudhuriaji wa kanisani kuna jamaa aisee hawakosi kanisani, duh mvua, jua, alale saa nane siku jumamosi, jumapili ataamkia kanisani asubuhi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wanajf. Nitasafiri na familia kwenda Mwanza, nimepanga kulala Nzega na familia kabla sijaendelea kesho yake Mwanza. Najua JF members wametapakaa nchi nzima na hata nje ya nchi. Naomba...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
wakuu. jah Bless. kua rastafarian ni imani tu iliyo ndani ya moyo na kile unachowaza japo kuna miiko kwenye imani yetu, Imani hii haina ubaguzi kabisa ni imani ya kuamini katika usawa na kuheshimu...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
[emoji7] [emoji7] [emoji7]
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Habar waja Jf? hope kila mtu ni mzima wa afya Nimeona tatizo katika jamii zetu hasa sisi vijana katika utafutaji wa pesa tumekuwa watu wa MIHEMKO a.k.a tumekua kama bendera tunafata upepo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Umoja wa Mataifa (UN) umesema utatoa ushirikiano wa kutosha ili kufanikisha uchunguzi kuhusu tukio la kuuawa Wanajeshi 14 wa JWTZ waliokuwa wakilinda amani huko DR Congo. Aidha, UN imesema...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Dawa za LIFE SELI zinatengenezwa Kinondoni kwa Manyanya. Nimejaribu dawa zake. Kuku wangu kila nikiwapa wanapata matege na kupofuka macho. Najiuliza hivi wizara ya mifugo iko wapi! Hawa waganga wa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu,naomba kufahamishwa ni vipi naweza kuhama kutoka wizara moja kwenda wizara nyingine kwa kada ya TEHAMA. Pia ninapoandika barua ya kuomba nafasi wizara au taasisi husika kichwa...
0 Reactions
0 Replies
853 Views
Platinum ni bar ya kawaida sana haifikii hata rosegarden, royal village,capetown, rainbow nk ambako huko kote bei ya soda ni 1000, lkn wao soda ni sh 1500, kwa kweli hata kama vyuma vimekaza hio...
1 Reactions
23 Replies
5K Views
Ni jambo lililozoeleka kwa watoto wadogo kupenda kuvua nguo zote wanapoenda kupuu. Kuna wengine hukua na tabia hio mpaka shuleni na hatimaye ukubwani. Hawa siwezi kuwanenea kwakuwa ni tabia tayari...
30 Reactions
134 Replies
12K Views
Wandugu hamjambo. Naombeni msaada wa kimawazo, Mim ni civil servant, Nina mkopo abc banc, Toka mwaka 2015, Jumla ya makato kwa miezi 72 ni si chini ya 14,876,000 Mwezi FEB deni lilikuwa...
0 Reactions
64 Replies
9K Views
Madaktari watakaoguswa na panga pangua hiyo ni pamoja na bingwa wa kinamama, watoto, upasuaji, mionzi, dawa za usingizi na mifupa. Dar es Salaam. Wakati asilimia 60 ya madaktari bingwa...
3 Reactions
95 Replies
10K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…