Platinum Annex Area C Dodoma,huu wizi hauvumiliki bei ya soda sawa na bia,

Lugeye

JF-Expert Member
Apr 18, 2011
1,679
2,914
Platinum ni bar ya kawaida sana haifikii hata rosegarden, royal village,capetown, rainbow nk ambako huko kote bei ya soda ni 1000, lkn wao soda ni sh 1500, kwa kweli hata kama vyuma vimekaza hio sio solution ya kuviregeza,naomba vyombo husika vifatilie hizi bar ambazo hazina ubora wa kimataifa lkn kujiwekea bei watakavyo,leo mmenisababishia usumbufu mkubwa nilikua na buku 2, nikijua soda buku ninywe huku na nacheki game ya man city na Tot,na buku inayobaki nilipie boda sasa imebidi niache kucheki game niwahi kuondoka kabla ya game kuisha ili nisikabwe na vibaka sababu inabidi nitembee kwa miguu
 
Platinum ni bar ya kawaida sana haifikii hata rosegarden, royal village,capetown, rainbow nk ambako huko kote bei ya soda ni 1000, lkn wao soda ni sh 1500, kwa kweli hata kama vyuma vimekaza hio sio solution ya kuviregeza,naomba vyombo husika vifatilie hizi bar ambazo hazina ubora wa kimataifa lkn kujiwekea bei watakavyo,leo mmenisababishia usumbufu mkubwa nilikua na buku 2, nikijua soda buku ninywe huku na nacheki game ya man city na Tot,na buku inayobaki nilipie boda sasa imebidi niache kucheki game niwahi kuondoka kabla ya game kuisha ili nisikabwe na vibaka sababu inabidi nitembee kwa miguu

Unatembeaje na buku mbili na ww usiku wote huu, mwanaume tahadhali acha kulia lia
 
ungeagiza maji madogo, nadhani kama wamekubana sana wangesema ni buku!

hebu tupe matokeo halafu totenham wanacheza na man cty au Arsenal?
 
Platinum ni bar ya kawaida sana haifikii hata rosegarden, royal village,capetown, rainbow nk ambako huko kote bei ya soda ni 1000, lkn wao soda ni sh 1500, kwa kweli hata kama vyuma vimekaza hio sio solution ya kuviregeza,naomba vyombo husika vifatilie hizi bar ambazo hazina ubora wa kimataifa lkn kujiwekea bei watakavyo,leo mmenisababishia usumbufu mkubwa nilikua na buku 2, nikijua soda buku ninywe huku na nacheki game ya man city na Tot,na buku inayobaki nilipie boda sasa imebidi niache kucheki game niwahi kuondoka kabla ya game kuisha ili nisikabwe na vibaka sababu inabidi nitembee kwa miguu
Poole mkuu unakaa wapi kama uko karibu na area d kuna baa Kali kama hill park na soda ni jero huku unacheki kandanda
 
Platinum ni bar ya kawaida sana haifikii hata rosegarden, royal village,capetown, rainbow nk ambako huko kote bei ya soda ni 1000, lkn wao soda ni sh 1500, kwa kweli hata kama vyuma vimekaza hio sio solution ya kuviregeza,naomba vyombo husika vifatilie hizi bar ambazo hazina ubora wa kimataifa lkn kujiwekea bei watakavyo,leo mmenisababishia usumbufu mkubwa nilikua na buku 2, nikijua soda buku ninywe huku na nacheki game ya man city na Tot,na buku inayobaki nilipie boda sasa imebidi niache kucheki game niwahi kuondoka kabla ya game kuisha ili nisikabwe na vibaka sababu inabidi nitembee kwa miguu
Ushauri wangu kwako uwe unauliza bei kabla ya kuagiza.
 
Platinum ni bar ya kawaida sana haifikii hata rosegarden, royal village,capetown, rainbow nk ambako huko kote bei ya soda ni 1000, lkn wao soda ni sh 1500, kwa kweli hata kama vyuma vimekaza hio sio solution ya kuviregeza,naomba vyombo husika vifatilie hizi bar ambazo hazina ubora wa kimataifa lkn kujiwekea bei watakavyo,leo mmenisababishia usumbufu mkubwa nilikua na buku 2, nikijua soda buku ninywe huku na nacheki game ya man city na Tot,na buku inayobaki nilipie boda sasa imebidi niache kucheki game niwahi kuondoka kabla ya game kuisha ili nisikabwe na vibaka sababu inabidi nitembee kwa miguu
Biashara huru ww.. Nenda uswahilini
 
Unajua tatizo la watanzania sijui nani katuroga!,huyu mtoa mada yupo sahihi kabisa.
Kupandisha bei ya soda sio tatizo hata kidogo tatizo hapo ni wanalipa kodi ya hilo ongezeko?,bei elekezi ya makampuni haya ya soda mara nyingi huwa na uwiano uliyo sawa 500 au 600 na hii ndo bei elekezi inayotambuliwa na serikali maana serikali tayari ishachukua kodi kupitia bei hiyo.
Bei za vinywaji hivi baridi mara nyingi havitofautiani sana vocha za mitandao ya simu maana ikishapangwa bei elekezi hupaswi kuongeza maana utaikosesha serikali mapato na itakuwa kero kwa wananchi,mtoa mada tayari alitoka nyumbani kwake na bajeti husika lakini alipofika hapo akakuta kuna-changes tayari hiyo ni kero kwake na ilivuruga mipango yake,hili tatizo halipo dodoma tu bali lipo kila mahali katika nchi hii ya Tanzania.
Tunaiomba serikali iangalie hili suala maana limekuwa TOO MUCH,huku dar es salaam ndo usiseme!,Sio kwamba hatupendi watu wapige pesa bali hizo pesa wapige kihalali na walipe kodi sio kwamba anatokea tu mtu anajipandishia bei anavyotaka na kodi halipi!.
NAOMBA HILI SUALA SERIKALI WAMKABIDHI EWURA,EWURA HAWANAGA MCHEZO KABISA
 
Unajua tatizo la watanzania sijui nani katuroga!,huyu mtoa mada yupo sahihi kabisa.
Kupandisha bei ya soda sio tatizo hata kidogo tatizo hapo ni wanalipa kodi ya hilo ongezeko?,bei elekezi ya makampuni haya ya soda mara nyingi huwa na uwiano uliyo sawa 500 au 600 na hii ndo bei elekezi inayotambuliwa na serikali maana serikali tayari ishachukua kodi kupitia bei hiyo.
Bei za vinywaji hivi baridi mara nyingi havitofautiani sana vocha za mitandao ya simu maana ikishapangwa bei elekezi hupaswi kuongeza maana utaikosesha serikali mapato na itakuwa kero kwa wananchi,mtoa mada tayari alitoka nyumbani kwake na bajeti husika lakini alipofika hapo akakuta kuna-changes tayari hiyo ni kero kwake na ilivuruga mipango yake,hili tatizo halipo dodoma tu bali lipo kila mahali katika nchi hii ya Tanzania.
Tunaiomba serikali iangalie hili suala maana limekuwa TOO MUCH,huku dar es salaam ndo usiseme!,Sio kwamba hatupendi watu wapige pesa bali hizo pesa wapige kihalali na walipe kodi sio kwamba anatokea tu mtu anajipandishia bei anavyotaka na kodi halipi!.
NAOMBA HILI SUALA SERIKALI WAMKABIDHI EWURA,EWURA HAWANAGA MCHEZO KABISA
Hapo umenena!
 
Wasalamu nikiende kwenye point.Tuna walinda usalama wetu nikimaanisha askari wote, polisi,jeshi, askari game,magereza nk.Baadhi wamekuwa wakipata madhara makubwa ikiwemo vifo wanapotekeleza majukumu ya kikazi mfano kulinda amani,kupambana na wahalifu,majambazi,majangiri,waasi nk asilimia kubwa wengi wao huwa kati ya miaka 20 hadi 45 sababu ni umri wa kuweza kupambana na mikikimiki ya purukushani.Kumbuka wengi huacha wategemezi wakiwemo wajane na watoto wakiwa bado wanauhitaji wa matunzo toka kwa askari alieuwawa kazini.Ombi au pendekezi mbali na wategemezi kurithi stahiki za marehemu wangepewa haki ziada zingine Mfano kuendelezwa kielimu hadi ngazi ifaayo,huduma za matibabu bure nk.Mfano wategemezi hao wajane na watoto wanapewa kadi maalumu za utambuzi zenye data base kuwawezesha kupata huduma hizo za msingi hadi watakapoweza kusimama wenyewe, hii inakuwa kama ni ukumbusho au thawabu fulani kuwaenzi wapiganaji wetu.Hata wafiwa wanaona kweli wapendwa wao wametoa uhai wao kwa ajili ya taifa japo stahiki ziada hizo haziwezi lingana na thamani ya uhai wao.TUWAENZI WALINDA USALAMA WETU.
Kama mfuko hauruhusu sio lazima kwenda huko MBONA kwa hela hio unagonga Pepsi uswazi na chenji inabaki.Ni aina ya control unakuwa na wateja wachache wa three in one
Unajua tatizo la watanzania sijui nani katuroga!,huyu mtoa mada yupo sahihi kabisa.
Kupandisha bei ya soda sio tatizo hata kidogo tatizo hapo ni wanalipa kodi ya hilo ongezeko?,bei elekezi ya makampuni haya ya soda mara nyingi huwa na uwiano uliyo sawa 500 au 600 na hii ndo bei elekezi inayotambuliwa na serikali maana serikali tayari ishachukua kodi kupitia bei hiyo.
Bei za vinywaji hivi baridi mara nyingi havitofautiani sana vocha za mitandao ya simu maana ikishapangwa bei elekezi hupaswi kuongeza maana utaikosesha serikali mapato na itakuwa kero kwa wananchi,mtoa mada tayari alitoka nyumbani kwake na bajeti husika lakini alipofika hapo akakuta kuna-changes tayari hiyo ni kero kwake na ilivuruga mipango yake,hili tatizo halipo dodoma tu bali lipo kila mahali katika nchi hii ya Tanzania.
Tunaiomba serikali iangalie hili suala maana limekuwa TOO MUCH,huku dar es salaam ndo usiseme!,Sio kwamba hatupendi watu wapige pesa bali hizo pesa wapige kihalali na walipe kodi sio kwamba anatokea tu mtu anajipandishia bei anavyotaka na kodi halipi!.
NAOMBA HILI SUALA SERIKALI WAMKABIDHI EWURA,EWURA HAWANAGA MCHEZO KABISA
 
Back
Top Bottom