Habari wanajf.
Nitasafiri na familia kwenda Mwanza, nimepanga kulala Nzega na familia kabla sijaendelea kesho yake Mwanza. Najua JF members wametapakaa nchi nzima na hata nje ya nchi. Naomba kujuzwa hoteli / lodge nzuri ninayoweka kulala la familia hap Nzega. Usalama, usafi na utulivu ni mambo ya kuzingatia.
Aksanteni.
Nitasafiri na familia kwenda Mwanza, nimepanga kulala Nzega na familia kabla sijaendelea kesho yake Mwanza. Najua JF members wametapakaa nchi nzima na hata nje ya nchi. Naomba kujuzwa hoteli / lodge nzuri ninayoweka kulala la familia hap Nzega. Usalama, usafi na utulivu ni mambo ya kuzingatia.
Aksanteni.