toto zuli
JF-Expert Member
- Aug 20, 2012
- 265
- 283
Miaka ya nyuma shule za st.mery zilizoko tabata,mbagala,mbezi za mama rwakatare
Zilikuwa zikisifika kwa elimu bora na wanafunzi kuongea kingereeza lakini siku hizi hazisikiki kama ilivyokuwa zamani tatizo ilikuwa ni nini.
Hivi hizi shule bado zipoo mbona kimya sana
Zilikuwa zikisifika kwa elimu bora na wanafunzi kuongea kingereeza lakini siku hizi hazisikiki kama ilivyokuwa zamani tatizo ilikuwa ni nini.
Hivi hizi shule bado zipoo mbona kimya sana