Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Wakuu naombeni msaada kwa anaeweza kunisaidia hili au ambae anajua hii inatokana na nini ni vizuri anishauri, Nimeanzisha biashara yangu ndogo ila cha kushangaza naweza kuchukua mzigo wa kuuza...
1 Reactions
61 Replies
7K Views
Habar zenu wadau, Kwa mujibu wa sheria na maagizo ni lazima kila ofisi ni jambo zuri lakini kwa nini picha hizi kwenye taasisi za umma wasingekuwa wanatoa bure? Picha za Rais inauzwa kuanzia Tsh...
1 Reactions
6 Replies
4K Views
Habari wakuu. Kwanza natoa pole kwa wanafamilia, ndugu na jamaa wa vijana wetu waliopoteza maisha huko kongo. Kwa kweli ni jambo la kusikitisha sana. Nimefanikiwa kuopata kuwafaham vijana kama 4...
10 Reactions
176 Replies
19K Views
Habari watumishi wa serikali, Je wajua kuwa! unaweza kupata taarifa zako za kiutumishi pamoja na salary slip yako kupitia simu yako ya mkononi? Ni rahisi sana cha kufanya tembelea official...
20 Reactions
101 Replies
33K Views
Ndugu zangu najua wote humu wengi tumepitia ajira so me ni mwl nimeajiliwa nimeomba ruhusa kwenda shule ila ofisa Elimu wangu hataki na ninahitaji sana kwenda kusomea afya nomefaya maamuzi ya...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Emmanuel Richard, dereva maarufu kwa jina la Humbe (30), jana alihukumiwa kwenda jela miaka 20 na kulipa faini ya Sh. milioni 32.7 baada ya kukutwa na hatia ya kupatikana na nyara za serikali...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari wana JF,natumai nyote wazima na kama kuna yoyote hayupo sawa basi Mungu awe naye arudi kwenye afya yake ya zamani. Bado vyuma vimekaza na kama ni vita basi kwetu iwe mapema tuendelee...
0 Reactions
0 Replies
673 Views
Gaudence lyimo ameteuliwa na CCM kugombea udiwani katika kata ya Kimandolu ambako uchaguzi umepangwa kufanyika January 2018. Gaudence sijajua kwa nini unadanganyika au umelazimishwa kaka? una...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Endapo kwa dhati kabisa watataka kuthibitisha hilo, waruhusu suala la katiba lirekebishwe na kufa fair kwa vyama vyote waone kama wataweza kuvimbisha vifua vyao mbele na pia ndipo watakapofahamu...
3 Reactions
22 Replies
2K Views
Wanajamvi, Nina mapenzi makubwa sana na jeshi la nchi yangu Tanzania. Mara nyingine natamani ningekuwa mmoja wao nikahusika kwenye oparesheni tamu kama za Kongo. Pamoja na hayo; kuna jambo moja...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Kuna kampuni inaitwa Positive Eye yenye ofisi zake ndani ya viwanja vya nanenane Arusha. Hawa wanajitangaza wanatengezeza mabwawa ya samaki ya kuhamishika nk. Mkurugenzi (anajulikana kama...
4 Reactions
29 Replies
8K Views
Naomba niwaulize hivi hamuoni kama walimu wanaibiwa? Mtumishi anakatwa asilimia 2% kila mwezi mpaka anastaafu. Halafu ana pewa kitambaa cha suruali na bandari ya bati tu. Huyu si unyonyaji wa...
2 Reactions
33 Replies
3K Views
Wadau Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa ( TAMISEMI) Mh Jafo amekutana na Wakuu wa Mikoa tarehe 19/12/2017 katika ukumbi wa mikutano wa Tamisemi ( Sokoine House)...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mwisho wa course wahitimu wake hawako competent kipractical but wamejaa history tu za hayo masomo NA theory zake sababu ht muda wanaosoma ni mchache sana ukilinganisha na nchi nyingine mfn cause...
0 Reactions
0 Replies
590 Views
Tumesikia shirika la nyumba la taifa likijenga nyumba zenyewe gharama nafuu sehem mbalimbali za nchi lakin nyumba hiz zimekua na gharama kubwa kuliko zinavyotangazwa yan unakauta apartment ndogo...
5 Reactions
34 Replies
6K Views
Mbeya. Vijana wa kiume wametakiwa kuwa tayari kufanyiwa tohara ili kukabiliana na maambukizi ya magonjwa ya zinaa. Mkurugenzi Mtendaji wa asasi isiyokuwa ya kiserikali ya Sauti ya Mama Afrika...
0 Reactions
1 Replies
875 Views
IDADI ya wanaume wakiwemo watumishi wa umma katika Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa, ambao wameamua kuvunja ukimya, wakidai kupigwa na kutelekezwa na wenza wao, imeongozeka kwa kasi. Mkuu wa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Leo hii naotea kuwa baba mwenye nyumba lazima apige mkwara kwa wasambazaji au watoaji takwimu asizozipenda.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Nimeumia sana baada ya kukutana na mtu ambaye alimbaka mama wa jirani yangu akiwa anakunywa bia bar na mmoja wa ndugu zake. Alifungwa gereza la kingurungundwa mbwenkulu lindi. Leo hii yupo kwetu...
3 Reactions
33 Replies
3K Views
Jamani naomba msaada nina ndugu yangu amenunua ngalawa ya kuvulia samaki ila tatizo ni kwamba hajui jinsi ya kuendesha hicho kifaa. sasa kuna mwenye ujuzi na hiki kifaa anijuze hili nimueleze...
0 Reactions
38 Replies
4K Views
Back
Top Bottom