Wakazi wa mitaa ya Madale, Nakasangwe na Mbopo manispaa ya Kinondoni Dar es Salaam wameendelea kukosa mawasiliano ya barabara kwa zaidi ya wiki mbili sasa kufuatia daraja kiunganisho kukatika...
Vijana wameshauriwa kuacha kutumia vibaya mitandao ya kijamii badala yake itumike kuweza kuwasaidia kujikwamua katika maendeleo, hayo ameyasema mwanamitindo Jokate Mwegelo leo asubuhi kupita East...
Hivi Karibu kumeibuka Uharifu wakutisha unaoendeshwa na Vijana wenye umri Kati 18+ 20_23.Uharifu huu unafanywa ktk Maeneo ya Mwanza.
Makazi ya Vijana hao au uwenyeji wao,Baadhi ni Mwanza mjini na...
Wananchi wa JF ni mda mwafaka sasa kuzitaja taasisi zisizo na tija kwetu badala yake ni kuongeza mzigo kwa walipa kodi tu na kutengeneza mfereji wa ulaji
Taasisi uwepo wake unaweza kuwa muhimu...
Hizi nyumba za Mchechu za rank mbalimbali naona ni Bomu linalosubiri kulipuka kwani ukiangalia maeneo (nyingi) zinakojengwa na gharama zake kuwa ghali sana hapo hujaweka riba ya mamilioni ya...
JESHI LA POLISI MKOA WA SHINYANGA WALINIBANIA NAFASI YA KUWA POLISI INTERVIEW YA MKOA(MASWA) MWAKA 2006.
Mwaka 2006 mwezi wa sita nilirejea Kahama nikitokea Dar es salaam ili niweze kujiunga na...
Wakuu
Hapo nyuma sikuwahi kulisikia wala kulisoma popote pale azimio la kagera, zaidi nilizoea kukutana na maazimio mbalimbali kama azimio la Arusha, azimio la Iringa na azimio la Tabora.
Hivi...
Mvua kubwa iliyoambatana na upepo mkali imeezua na kubomoa nyumba 71 na kusababisha zaidi wa watu 150 kukosa hifadhi katika vijiji 4 vya kata ya Ivuna mkoani Songwe,na kutokana na maafa hayo mazao...
Wadau
Mwaka 2013 Serikali ya Gambia ilipitisha Sheria ya kuwa na siku (3) tatu za mapumziko kwa ajili ya Wafanyakazi wote wa Umma nchini humo. Mapumziko hayo ni kwa siku za Ijumaa, Jumamosi na...
TLS ina wanachama wenye hela ya kufa mtu kuanzia akina Mkono, Immmmmma, sijui rex attorneys wote hawa ni Mabilionea tena ndiyo waliompa Tundu Lisu Uongozi wa tls kwa kumpigia Kampeni ya kufa mtu...
Uko na msichana wa kazi ndani,baadae unahisi ana mimba baada ya kumpima ikaonekana kweli ana mimba,ktk kumuhoji mimba ya nani kasema ya shemeji,jioni ilipofika mke anamuuliza mumewe kwanini...
Hey pipoz, mwaka ndo unasepa huu,
Je unakuachaje kiuchumi, social nk.
Kwa upande wangu Kiuchumi hapo mwanzoni nilipata shida sana, niliajiriwa na mjomba wangu ambae ana mapesa mengi sana.
Lkn...
Nimewapigia voda sijapata msaada mzuri mhudumu hajanisaidia. Nina samsung galaxy j5 nimefanya setting za apn kama Wap na jina kama vodacom wap. Nimejiunga bando 1gb la wiki....tatizo sipati...
Msemaji wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA), Sheikh Khamis Mataka ameeleza kuwa ni kweli baraza hilo linakabiliwa na hali ngumu kifedha kiasi cha kushindwa kulipa mishahara ya wafanyakazi...
Habari zenu wapendwa,
Takriban miezi minne sasa nimekua nikisikia matangazo tofauti tofauti yaliyoandaliwa kwaajili ya kuelimisha jamii kwamba SI KILA HOMA NI MALERIA...
Nina uhakika nguvu na Rasilimali tunazowekeza kwenye kuhudumia Wanyama wa porini, kama tungeiwekeza kwetu, maisha yetu yangekuwa bora zaidi kuliko yalivyo sasa hivi!
Ukianzia kuwalinda, kwa...
Habari zenu wana jamvi?Ni zaidi ya mara moja nimekuwa nikinunua umeme kupitia M-Pesa na Tigo Pesa kisha sipokei ujumbe wenye Token na kunionesha kuwa nimenunua umeme.Baada ya kupiga simu huduma...
Kila jambo lina faida na hasara zake.
Pamoja na kuwa na kero nyingi sana kwa kutumia usafiri wa Daladala kwa mihangaiko ya kawaida pia kuna raha yake ya kutumia usafiri huu ukilinganisha na...
Hi great thinkers katika maisha tunakumbana na mambo mengi ikiwamo ya kuhuzunisha na kubakisha kumbukumbu isiyofutika.
Binafsi sitasahau mwaka 1995 nilipopata ajali nikiwa na mama yangu mzazi na...