Wakuu
Hapo nyuma sikuwahi kulisikia wala kulisoma popote pale azimio la kagera, zaidi nilizoea kukutana na maazimio mbalimbali kama azimio la Arusha, azimio la Iringa na azimio la Tabora.
Hivi karibuni nimepata kulisikia azimio la kagera ambalo siku ya kilele chake ni leo likifanyika huko kagera na watu mbalimbali wamehudhuria, azimio hili nimelielewa kiufupi kwamba linahusiana na maonesho ya kilimo, ujumbe wake ni mzuri na unawalenga waswahili kwa hali halisi ilivyo sasa
Hii imenisukuma kutaka kulielewa hili azimio kiundani zaidi,
Azimio la kagera lilianzishwa lini, ni nani mwanzilishi wa azimio hili
Kwanini hapo nyuma alikuwahi kuazimishwa au maazimisho yalikuwepo mie tu sikuyasikia?
Mwaka huu yameshikiliwa sana na clouds media huku ikiwa ni suala la kitaifa na niwape pongezi bila wao ata mie nisingelijua, je nafasi ya serikali na vyombo vyake vya habari vinanafasi gani kuhusiana na azimio la kagera?
Au Ni uhaya na ukagera wa Ruge ameona kagera haina azimio kama ilivyo mikoa niliyotaja hapo na yeye kaamua kuutangaza mkoa wake kwa namna hii?
[HASHTAG]#AzimioLakagera[/HASHTAG]
Hapo nyuma sikuwahi kulisikia wala kulisoma popote pale azimio la kagera, zaidi nilizoea kukutana na maazimio mbalimbali kama azimio la Arusha, azimio la Iringa na azimio la Tabora.
Hivi karibuni nimepata kulisikia azimio la kagera ambalo siku ya kilele chake ni leo likifanyika huko kagera na watu mbalimbali wamehudhuria, azimio hili nimelielewa kiufupi kwamba linahusiana na maonesho ya kilimo, ujumbe wake ni mzuri na unawalenga waswahili kwa hali halisi ilivyo sasa
Hii imenisukuma kutaka kulielewa hili azimio kiundani zaidi,
Azimio la kagera lilianzishwa lini, ni nani mwanzilishi wa azimio hili
Kwanini hapo nyuma alikuwahi kuazimishwa au maazimisho yalikuwepo mie tu sikuyasikia?
Mwaka huu yameshikiliwa sana na clouds media huku ikiwa ni suala la kitaifa na niwape pongezi bila wao ata mie nisingelijua, je nafasi ya serikali na vyombo vyake vya habari vinanafasi gani kuhusiana na azimio la kagera?
Au Ni uhaya na ukagera wa Ruge ameona kagera haina azimio kama ilivyo mikoa niliyotaja hapo na yeye kaamua kuutangaza mkoa wake kwa namna hii?
[HASHTAG]#AzimioLakagera[/HASHTAG]