Ungekuwa ww ungefanyaje?

Ungekuwa ww ungefanyaje?

Itapendeza900

Member
Joined
Nov 30, 2017
Posts
45
Reaction score
31
Uko na msichana wa kazi ndani,baadae unahisi ana mimba baada ya kumpima ikaonekana kweli ana mimba,ktk kumuhoji mimba ya nani kasema ya shemeji,jioni ilipofika mke anamuuliza mumewe kwanini amemdhalilisha kutembea na house girl wao na kumpa mimba, bidada kaambulia makofi na kutishiwa maisha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom