Boniphace Kichonge
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 1,605
- 1,958
Wadau
Mwaka 2013 Serikali ya Gambia ilipitisha Sheria ya kuwa na siku (3) tatu za mapumziko kwa ajili ya Wafanyakazi wote wa Umma nchini humo. Mapumziko hayo ni kwa siku za Ijumaa, Jumamosi na Jumapili.
Mwaka 2013 Serikali ya Gambia ilipitisha Sheria ya kuwa na siku (3) tatu za mapumziko kwa ajili ya Wafanyakazi wote wa Umma nchini humo. Mapumziko hayo ni kwa siku za Ijumaa, Jumamosi na Jumapili.