Video: Azimia jukwaani baada ya kutumbuliwa na Makonda

Video: Azimia jukwaani baada ya kutumbuliwa na Makonda



Tundu Lissu:Wakitumaliza wataanza na nyinyi

Nimejikuta natetema kwa hasira baada ya kuona mtu kaanguka na kapoteza fahamu huku huyo huyo mtu alisababisha apoteze faham anasema DAR ES SALAAM OOYEEEE! Atupishe siye tunaendele kuchapa kazi.... Daaah watu ni wanyama zaidi ya mnyama[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
 
Yaan haya ni mambo ya kudhalilishana aisee, si angemuandika barua tu..; halafu mtu kazimia wewe ndio unazidi kusema "Dar es salaam hoyeeeee...!" Duuh. ".....utaona nchi nzuriiii...., naomba msogee basi si tunaendelea na kazi...."
 
Nimejikuta natetema kwa hasira baada ya kuona mtu kaanguka na kapoteza fahamu huku huyo huyo mtu alisababisha apoteze faham anasema DAR ES SALAAM OOYEEEE! Atupishe siye tunaendele kuchapa kazi.... Daaah watu ni wanyama zaidi ya mnyama[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
Division zero haikutoshi kwenye taaluma tu ni hadi kwenye maswala ya huruma Na utu
 
Wenzako wamesoma kwa bidii , wewe unawatumbua....... Ni vyema kukumbuka vyeo vya kisiasa ni vya msimu, kwa hiyo busara na hekima inatakiwa kutumika ili kutatua kero za wananchi na wala sio vyema kucheza na majukwaa.
 
Yaan haya ni mambo ya kudhalilishana aisee, si angemuandika barua tu..; halafu mtu kazimia wewe ndio unazidi kusema "Dar es salaam hoyeeeee...!" Duuh. ".....utaona nchi nzuriiii...., naomba msogee basi si tunaendelea na kazi...."
Huyu jamaa hakumbuki fitna yake ilisababisha mauti ya Kabwe kwenye uzinduzi wa Daraja la Kigamboni...
 
Nimejikuta natetema kwa hasira baada ya kuona mtu kaanguka na kapoteza fahamu huku huyo huyo mtu alisababisha apoteze faham anasema DAR ES SALAAM OOYEEEE! Atupishe siye tunaendele kuchapa kazi.... Daaah watu ni wanyama zaidi ya mnyama[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
mkuu acha tu huu ni zaidi ya unyama.only for political publicity!
 
Ili kuepuka madhira kama haya, kama wewe ni hard worker na risk taker, kuna mambo mawili yatakayokufaa. Kufanya Kazi private ama ujiajiri mwenyewe! Mambo ya kusimamishwa hadharani kama haya na kutishiwa ugali wako yatakuwepo kidogo sana!
 


Tundu Lissu:Wakitumaliza wataanza na nyinyi

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ili kuepuka madhira kama haya, kama wewe ni hard worker na risk taker, kuna mambo mawili yatakayokufaa. Kufanya Kazi private ama ujiajiri mwenyewe! Mambo ya kusimamishwa hadharani kama haya na kutishiwa ugali wako yatakuwepo kidogo sana!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kabisa mkuu
 
Yaan haya ni mambo ya kudhalilishana aisee, si angemuandika barua tu..; halafu mtu kazimia wewe ndio unazidi kusema "Dar es salaam hoyeeeee...!" Duuh. ".....utaona nchi nzuriiii...., naomba msogee basi si tunaendelea na kazi...."
We unajua hao wakuu wa idara kwa kusababisha migogoro mfano ya ardhi, wameua watu wangap!?
 
Back
Top Bottom