Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Najua kipindi kama cha chaguzi mbali mbali katika vyama ili kupata wawakilishi katika kugombea uraisi kila chama kina taratibu yake,ila tume ya uchaguzi inasubiri majina kutoka katika kila chama...
0 Reactions
1 Replies
740 Views
  • Redirect
Habari humu JF! Naamini Jtatu, iko njema . Kama, kichwa kinavyosomeka hapo juu. Napenda , kuulizia, eti siku RC akitoa vyeti nini kitakachofatia baada ya kelele na yowe za bishop uchwara Na...
1 Reactions
Replies
Views
Wadau, Nimekua nikijiuliza kwa muda mrefu hivi ni sababu gani kuu inayopelekea mikutano ya wadau kwenye haya mashirika ya hifadhi ya jamii kama NSSF,PSPF,PPF,LAPF na GEPF yote kufanyikia Arusha...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
TANZANIA ina upungufu mkubwa vitabu vya elimu kwa ajili ya kufundishia (kiada) na kujifunzia (ziada) jambo ambalo limechangia ongezeko la waandishi wengi. Kuibuka kwa wimbi la waandishi wengi...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Wafanyabiashara 13 wa Wilaya za Babati na Hanang’ Mkoani Manyara, wamesalimisha katoni 1,540 za pombe zilizofungashwa kwenye karatasi (viroba) zenye thamani ya sh140 milioni. Mmeonesha uzalendo...
0 Reactions
3 Replies
824 Views
Wadau salamu sana, Kwa mazoea kawe beach ni sehemu maarufu kwa uchomaji wa samaki jijini,mbali na ukweli kuwa zipo sehemu nyingine kama Meeda sinza,Safari carnivor ambapo mchomaji maarufu wa kawe...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Napendekeza wawajibishwe haiwezekani kuiabisha taifa, maana haiwezekani television ya taifa ikurupuke kiasi hiki aisee! Hii ni aibu ya mwaka
5 Reactions
77 Replies
15K Views
Bango la matangazo lililopo round about ya Mlimani city lina mwanga mkali sana usiku na linawaumiza sana macho madereva wanaotoka ubungo kuelekea Mwenge. Tafadhali wahusika msisubiri accident...
3 Reactions
17 Replies
2K Views
Leo ndyo Tumejua kuwa ukipigana ukiwa CcM utakuwa umejifukuzisha mwenyewe. Ni bora ufoji vyeti kuliko kupigana kama wewe ni mwanachama wa CCM. Ila ukipiga hii mutu utapata cheo. Ngoja...
5 Reactions
26 Replies
5K Views
  • Redirect
Habaribwungwana. Ni matumaini yangu kuwa mko vyema. Napongza sana utendaji kazi wa Tanesco Pamoja na utendaji kazi kuwa mzuri lakini wilaya ya Lushoto inawatia doa kwa kufanya mambo kizembe...
0 Reactions
Replies
Views
Leo najiuuliza mfumo wa elimu ya Tanzania na Afrika kwa ujumla, najiuliza kama elimu hii inawafanya vijana wetu waelimike kiasi cha kuweza kupambana na maisha na mazingira yaliyo mbele yao...
0 Reactions
1 Replies
432 Views
Nahitaji chumba kimoja maeneo ya mwananyamala au kinondoni. Wapangaji wasizid wawili mwenye nacho call 0785717499
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jeshi la polisi kanda maalum ya Dar es salaam limefanikiwa kukusanya jumla ya shilingi milioni 840 za faini ya makosa mbalimbali ya barabarani kwa kipindi cha wiki moja ya oparesheni iliyofanywa...
0 Reactions
30 Replies
2K Views
Maisha kwakwel yamekuwa magumu sana wanaopeta ni wale wenye nafasi zao serikalini Ukisema ujiajili serikali inabana karibia sector zote. Mfano kwenye biashara kodi zipo lukuki kiasi kwamba huwezi...
2 Reactions
5 Replies
710 Views
Kama nilivyouliza ktk heading,wadau naomba mnifahamishe na hii ni kwa wale waliopo Dom ktk kikao au wale wanaotizama mubashara. Hicho kifaa ni kifaa chenye kazi gani ? Kipo upande wa kulia mwa...
1 Reactions
22 Replies
5K Views
Tabia ni kama ngozi, asili ya mtu na vitendo vyake unaweza kuvitathimini na kuvigundua pale endapo utakuta majibu yake kwenye mijadala mbali mbali kwenye mitandao mfano jf. Wacha leo nizungumzie...
0 Reactions
9 Replies
721 Views
habarini wadau! msaada jinsi ya kupata ufadhili wa mradi binafsi katika masuala ya ufugaji, concept note ishaandaliwa ila sijajua naanzia wap kuipeleka.Asanteni
1 Reactions
34 Replies
17K Views
Mimi nilifaulu vyema form 4 (dvn 1ya 8) na form 6(dvn 1ya 9) ila bahati mbaya cjafanikiwa kupata mkopo mwaka huu hivyo nimesitisha mwaka chuo. Ninaweza kufundisha masomo ya...
0 Reactions
0 Replies
303 Views
Wakuu,poleni na mihangaiko. Nyanya kama kiunge muhimu kwenye mboga, leo hii tarehe 12.03.2017, sado 1 inauzwa shilingi elfu kumi (TZS 10,000).m,na nyanya moja inauzwa kati ya TZS 300 mpk 500...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Habari za Kazi wana Jf Poleni na majukum Miaka miwili iliyopita Wizara ya afya Kupitia Global Fund Foundation ilitoa udhamini kwa baadhi ya Vyuo vya afya nchini Tanzania moja ya vyuo hivo ni...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…