makoroboi83
Member
- Feb 18, 2017
- 37
- 23
Maisha kwakwel yamekuwa magumu sana wanaopeta ni wale wenye nafasi zao serikalini
Ukisema ujiajili serikali inabana karibia sector zote.
Mfano kwenye biashara kodi zipo lukuki kiasi kwamba huwezi kuona unachokifanya ukisema uwe bodaboda hizo ndio balaa kwa kukamatwa
Kiasi kwamba hazitakiwi kuingia mjini je wakati zinaingizwa nchini walikuwa hawajui?
Watu umewasomesha ualimu mwisho wa siku unawaambia serikali haina Ajira za kuwapa
Saa nyingine huwa natamani sana ile Tanzania ya mwinyi au Mzee Jakaya
Ukisema ujiajili serikali inabana karibia sector zote.
Mfano kwenye biashara kodi zipo lukuki kiasi kwamba huwezi kuona unachokifanya ukisema uwe bodaboda hizo ndio balaa kwa kukamatwa
Kiasi kwamba hazitakiwi kuingia mjini je wakati zinaingizwa nchini walikuwa hawajui?
Watu umewasomesha ualimu mwisho wa siku unawaambia serikali haina Ajira za kuwapa
Saa nyingine huwa natamani sana ile Tanzania ya mwinyi au Mzee Jakaya