Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Wakuuu habari ya wakati,,,,Naamini Mungu anaendelea kutupigania kwenye kila mapito yetu. Wakuu napenda mnipe ushauri,nataka niichukue Computer kwaajili ya krecodi Audio,,je,ni computer gani...
1 Reactions
8 Replies
59 Views
Amesema jana sheikh Litengule akiwa na furaha sana. Kwa kweli tulisheherekea sana. Ndo maana nlikuwa nawaza toka zamani huyu jamaa yale mashuti mbona kama anafaa faa kuwa muislamu? Takdir...
5 Reactions
101 Replies
1K Views
Hamisa Mobetto awataka Juma Lokole na Maimartha kuacha kumfanya kuwa content ameeleza kuchoshwa na kile alichodai kuwa ni bullying na harassment dhidi yake pamoja na familia yake kwenye mitandao...
6 Reactions
73 Replies
1K Views
Ikitokea Maadui wakatumia hizo drones kufyeka watu masokoni humo sijui stendi. Tutaisha kama kuku. Na sijui kama tuna uwezo wa kukabiliana nazo. Zaidi ya kusifia
4 Reactions
22 Replies
438 Views
Leadership is not the art of being loved by everyone. The moment you stand firmly for something, make difficult decisions, or refuse to bend simply to please others, someone will dislike you for...
18 Reactions
13 Replies
437 Views
Wakuu mimi sina ubaya wowote na single mama. Ninaishi na mmoja wao kwa sasa. Nimekuwa nikiwatetea mara nyingi. Leo nimeona nitumie haki yangu ya kikatiba kwa wenzangu waliooa single mama wenye...
14 Reactions
74 Replies
893 Views
Had God a plan for the universe before he created it? Did he see in his plan the fate of mankind that they will rebel against his laws, and in his planning he constructed a place/state of...
1 Reactions
6 Replies
58 Views
Kuna tatizo lipo na ni kubwa lifanyiwe kazi Ndugu zangu naanza na SISI vijana Baadhi ya SISI vijana tulio wengi tumekuwa wazinzi ,walevi na wavivu wa kufanya kazi si Wana wake wala wanaume...
5 Reactions
4 Replies
99 Views
TANZIA Kwaya ya AICT Nyarugusu, wanasikitika kutangaza kifo cha Mwl Buluba James (1997-2026) Mwl Buluba alipotea tangu mwisho wa Mwezi June 2026 alipoiaga familia yake kuwa anaelekea Mkoani...
5 Reactions
27 Replies
585 Views
Bei ya wastani ya tumbaku imeongezeka kutoka Dola 1.95 kwa kilo msimu wa 2025/2026 hadi Dola 2.05 kwa kilo msimu wa 2026/2027, sawa na ongezeko la takribani 5.13%. Ongezeko hilo linaongeza kipato...
0 Reactions
2 Replies
47 Views
Hivi unajua ya kuwa umaskini ni kukosa akili? Kama ni kweli hakuna mtu anayependa umaskini kwa nini hatuko sawa? Ulishawahi kujiuliza ni kwa nini, we share the same existence but live in...
1 Reactions
12 Replies
118 Views
Hello wakuu kama wewe ni mtaalamu wa Pyhon, java-script na kutengeneza Apps nicheki haraka iwezekanavyo. Jambo la msingi ni kuwa anahitajika mtu anaejua codes na mifumo sio mtumiaji wa AI
1 Reactions
9 Replies
144 Views
Wakuu Habari za mchana huu Binafsi niseme, mimi kwa upande wangu kusamehe siyo shida na huwa inachukua muda kufungua moyo, inategemea na ukubwa kosa lenyewe. Naweza kudondosha visa viwili...
4 Reactions
18 Replies
142 Views
Mara baada ya kumpa Yesu Kristo Maisha yangu kuwa Bwana na Mokozi wa Maisha yangu, ndani yangu kiu ya kutaka kumjua Mungu ilizaliwa ndani yangu Kiu ile ilikuwa kubwa sana kiasi kwamba...
1 Reactions
0 Replies
24 Views
Naitaji msaada wa haraka Mimi ni mtumishi kutoka wizara ya mambo ya ndani,nina miaka 2 kazini, Mshahara wangu laki tano. Nataka kukopa kuanzia million 20 je inawezekana , Kama aiwezekani...
4 Reactions
74 Replies
654 Views
Ijumaa ya tarehe 28 Agosti, nilichapisha hapa jukwaani habari ya walimu wa shule ya sekondari IGANZO iliyopo mkoa wa Mbeya kujaribu kusitisha masomo ya mdogo wetu bila kufuata utaratibu rasmi...
0 Reactions
32 Replies
248 Views
Habari Tanzania !... Natamani leo hii tungekuwa na utaratibu wa kila kaya iwe na utamaduni wa kulima mboga mboga yaani iwe utamaduni wa Tanzania nzima. Hata kama mtu au familia yake sio wapenzi...
0 Reactions
3 Replies
38 Views
Muda hausimami kwa ajili ya mtu yeyote. Leo tunasema “bado nina muda”, kesho tunasema “ningejua…” Kila sekunde inayopita haijirudii tena. Pesa inaweza kupotea na ikapatikana tena, mali inaweza...
4 Reactions
5 Replies
77 Views
Sijui ndo uafrika au ujinga ila mambo yanazidi kuwa oveziiii. Barabarani hakuna utaratibu wa kueleweka katika kuendesha vyombo vya moto. Hawa vijana waliojizira hawana wanachojali wao...
4 Reactions
20 Replies
160 Views
Jeshi la zimamoto na uokoaji ni moja ya Idara iliyopo chini ya wizara ya mambo ya ndani ikijumuisha jeshi la polisi na jeshi la magereza, Jeshi hili ni mahususi katika shughuli za kukabiliana na...
1 Reactions
0 Replies
14 Views
Back
Top Bottom